Posted on: July 30th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ,amefanya ziara ya kutembelea Kata ya Kikongo
Halmshauri ya Wilaya ya Kibaha kusikiliza na kutatua kero za Wananchi.
Akitatutua Mgogoro wa Ardhi wa Mu...
Posted on: July 28th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameagiza kuanza Ujenzi wa Wodi ya Wazazi katika Zahanati ya Kata ya Mbwawa.
"Wananchi wana kero ya ukosefu wa wodi ya Wazazi kwenye Zahanati hii wanatemb...
Posted on: July 27th, 2022
Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amewataka Makarani wa Sensa kuzingatia kanuni sheria na taratibu ili zoezi hilo lifikie malengo ya kupata takwimu sahihi.
Kunenge alitoa agizo hilo alipokuwa...