Posted on: July 26th, 2022
Mhe Abubakar Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Pwani Amefanya ziara ya Ukaguzi wa Miradi ya Umeme kuangalia uzalishaji na Upatikanaji wa Nishati ya Umeme kwa Mkoa wa Pwani.
Kunenge ametembelea na kukag...
Posted on: July 25th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameridhishwa na maandalizi ya timu ya UMITASHUMTA Mkoani humo kushiriki katika michezo hiyo kitaifa inayotarajiwa kufanyika Mkoani Tabora kuanzia Julai 30 h...
Posted on: July 22nd, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge leo Julai 21, 2022 amekabidhi matrekta 10 yenye thamani ya Sh. Milioni 700 kwa Kikundi cha Wakulima wa Mpunga kiitwacho MBAKIAMTURI kilichopo wilayani Kibiti.
...