• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kupata Leseni ya Biashara

UTARATIBU WA KUTOA LESENI YA BIASHARA.

Ili Mfanyabiashara aweze kupata Leseni ya Biashara, lazima aombe kwa Mamlaka husika:-

Wizara ya Viwanda na Biashara kwa leseni za kundi “A” na Halmashauri kwa leseni za kundi B. Fomu ya maombi ya leseni za Biashara TFN Na. 211 ya 2004 imeonesha vizuri makundi haya. Mfanyabiashara anatakiwa kutimiza masharti yafuatayo:-

i. Kujaza fomu ya maombi ya Leseni za Biashara (fomu inapatikana katika tovuti ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa (www.pwani.go.tz) au fika ofisi za Biashara za Halmashauri za Wilaya za Bagamoyo, Kibaha Wilaya , Kibaha Mji, Kisarawe, Mkuranga, Mafia, Rufiji, Chalinze na Kibiti.

ii. Ambatanisha nyaraka kama inavyojieleza katika fomu ya maombi (TFN 211 ya 2004) na kuwasilisha Wizarani/ Halmashauri kwa ajili ya ukaguzi (assessment) na kujulishwa kiasi cha ada cha kulipia;

iii. Kwa Biashara za A, fanya malipo kwenye Benki utakayoelekezwa na Wizara ya Viwanda na Biashara

iv. Kwa Biashara za kundi B fanya malipo kwenye Benki utakayoelekezwa na Halmashauri husika;

v. Wasilisha “pay in slip’ ya Benki na kufuata maelekezo mengine utakayopewa na Mamlaka ya leseni husika,ili kupata risiti halali ya Serikali;


Mkoa unawashauri Wananchi wote na hasa wafanyabiashara kuwa hakuna urasimu wowote wa upatikanaji wa leseni za Biashara.Leseni za Biashara hutolewa kwa muda wa siku moja, endapo nyaraka zote zimekamilishwa na mwombaji.

Mwombaji anatakiwa kuwasilisha nyaraka zifuatazo zikiambatanishwa na Ombi Lake:

a. Nakala ya kuandikisha hati ya jina la Biashara au kampuni (photocopy of certificate of incorporation & Extract);

b. “Memorandum, and Articles of Association” ambazo zitaonyesha kuwa kampuni imeruhusiwa kisheria kufanya biashara inayoombwa, pamoja na majina ya wamiliki wa kampuni, hisa zao na utaifa wao.

c. Uthibitisho wa uraia kwa kuwasilisha, nakala ya hati ya kusafiria nje ya Nchi ya Tanzania au hati ya kusafiria katika nchi za Afrika Mashariki, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo(Affidavit) kuonyesha kuwa ni Mtanzania, na kama mgeni ataleta hati ya kuishi nchini daraja la kwanza (Residence permit class A);

d. Endapo wenye hisa wote wapo nje ya Nchi itabidi maombi yaambatane na hati ya kiwakili (Power of Attorney) ya kumpa Mamlaka raia wa Tanzania, raia wa kigeni mwenye hati ya kuishi nchini daraja “A” au hati ya kufanya kazi nchini daraja “B” inazoainisha kuwa anasimamia kampuni husika.

e. Nakala ya usha hidi wa maandishi kuwa ana mahali pa kufanyia biashara (lease agreement, Title deed, Certificate of Occupancy, e.t.c)

f. Hati ya kujiandikisha kama mlipa kodi (Tax payer Identification Number – TIN).


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.