• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Bagamoyo Yatangazwa Rasmi Kuwa Halmashauri ya Mji – Serikali Kupeleka Zaidi ya Milioni 1,000 kwa Miradi ya Maendeleo.

Posted on: August 22nd, 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza rasmi kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imepandishwa hadhi na kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo.

Tamko hilo limetolewa mbele ya maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Nia Njema, ambapo Waziri Mchengerwa alieleza kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa maelekezo kutoka kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suhuhu Hassan

“Kwa niaba ya Rais wetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, natangaza rasmi kuwa kuanzia leo, Bagamoyo ni Halmashauri ya Mji. Hii ni fursa kubwa ya maendeleo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyeidhinisha Bagamoyo kuwa mji rasmi kutokana na kasi ya ukuaji wa uchumi na ongezeko la watu.kwa wananchi wa Bagamoyo,” alisema Mchengerwa.

Amesema kuwa tayari ameagiza wataalamu wa mipango kutoka TAMISEMI kufika wilayani humo kwa ajili ya kuanza kazi ya kuandaa mpango wa mji huo kwa kuzingatia sheria na taratibu zote. Vilevile, ameielekeza Ofisi ya Katibu Mkuu TAMISEMI kuandaa tangazo rasmi katika Gazeti la Serikali kwa ajili ya kutangaza kupandishwa hadhi kwa Halmashauri hiyo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Mchengerwa ameagiza kutolewa kwa fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya wilayani Bagamoyo. Ameielekeza Ofisi ya Katibu Mkuu TAMISEMI kuhakikisha kuwa Shilingi milioni 700 zinapelekwa kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya katika eneo la Kisutu na Shilingi milioni 300 zitatolewa kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati mpya katika eneo la Kitame.

Aidha, Waziri Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufanya mapitio ya mtandao wa barabara katika mji wa Bagamoyo kwa lengo la kuandaa mpango wa kuongeza mtandao wa barabara za lami, ili kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii katika mji huo unaokua kwa kasi.

Akimkaribisha Waziri Mchengerwa, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, alimshukuru Rais Samia kwa mchango wake mkubwa katika kuifungua Bagamoyo na kuiletea maendeleo makubwa katika kipindi kifupi.

“Sisi wakazi wa Bagamoyo tunamshukuru sana Mhe. Rais Samia. Ameridhia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, ameridhia reli ya SGR kutoka Bagamoyo hadi Kwala kwa ajili ya mizigo, pia tumeona ujenzi wa kituo cha kupoza umeme cha megawati 22 kilichopo Chalinze, na sasa ujenzi wa barabara ya Makofia–Mlandizi kwa njia mbili umeanza,” alisema Mhe. Kunenge.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Bagamoyo Yatangazwa Rasmi Kuwa Halmashauri ya Mji – Serikali Kupeleka Zaidi ya Milioni 1,000 kwa Miradi ya Maendeleo.

    August 22, 2025
  • Mchengerwa Atoa Wito kwa Watumishi wa Afya Kuhudumia Wananchi kwa Upendo,

    August 22, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Aanza Ziara ya Kikazi Kisarawe, Akagua Miradi na Kusisitiza Uwajibikaji.

    August 18, 2025
  • Mradi wa Mifumo ya Umeme Jua na Usamabazaji wa Majiko Banifu kwa Bei ya Ruzuku waanza Mkoani Pwani.

    August 18, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.