• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yawa Kinara katika ukusanyaji wa Mapato Pwani

Posted on: June 3rd, 2020

Hayo yamesemwa leo Juni 3 2020 na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa Kikao Maalumu cha Baraza la Madiwani Mkuranga cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Mwaka 2018/19.

"Halmshauri ya Wilaya ya Mkuranga ni Halmshauri nyeti kwa uchumi wa Mkoa na Taifa kwa ujumla" alisema Ndikilo

Ndikilo amesema takwimu za ukusanyaji mapato ya TRA kwa mwaka 2019 hadi Mei 2020 Wilaya ya Mkuranga imekusanya Bilioni 14.46 Katika lengo la Mkoa la Bilioni 51 kufanya Wilaya hiyo kichangia asilimia 28.2 ya mapato yote ya Mkoa.

Mapato ya Ndani (Own Source) 2019/20 lengo ni Bilioni 6.31 kiasi kilichokusanywa mpaka Mei 2020 ni Bilioni 5.99 sawa na asilimia 95%

Ndikilo ameendelea kuitaka Halmashauri hiyo kubuni vyanzo vipya vya mapato na kuthibiti upotevu vya mapato kwenye vyanzo vilivyopo ikiwemo chanzo cha mchanga.

Katika hatua nyingine

Ndikilo ametoa siku saba kwa watumishi waliokuwa wakikusanya mapato kwa njia ya mashine za POS kuwasilisha fedha hizo.

Ndikilo alimtaka pia Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filberto Sanga kumpatia majina ya waliohusika na ukusanyaji wa mapato na kushindwa kuwasilisha fedha shilingi 150 kwa Halmashauri.

“Hata kama ni mtumishi wa Serikali lazima arudishe fedha za Umma, Mkuu wa Wilaya nipatie majina ya wale waliokuwa wakihusika na kukusanya mapato hayo alisema Ndikilo.

Alisema, wahusika wanatakiwa kurejesha fedha hizo huku hatua za kisheria dhidi yao zikiendelea kuchukuliwa lengo kutoa fundisho kwa wengine.

Mkuu huyo wa Mkoa alitoa wito kwa Mkurugenzi na Baraza hilo la Madiwani kuepuka kutoa mikataba mibovu kwa mawakala wa ukusanyaji wa mapato.

Katika hatua nyingine Mhandisi Ndikilo alipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi kwa miaka minne mfululizo huku akitoa agizo kwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmshauri hiyo kuzuia uzalishaji wa Hoja.

Aidha alitaka hoja za miaka ya nyuma ambazo Halmashauri ina uwezo wa kuzishughulikia zifungwe mapema ndani ya siku 90.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.