• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Jafo aipongeza Pwani kwa kutenga maeneo ya Uwekezaji

Posted on: July 16th, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amefanya ziara ya siku moja kutembelea viwanda katika Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni pamoja na kusikiliza Changamoto za wawekezaji.

Dk. Jafo amesema tayari alishatoa maelekezo kila Mkoa kutenga maeneo ya uwekezaji jambo ambalo kwa mkoa wa Pwani tayari wameshaanza kufanyia kazi.

Amewahakikishia wawekezaji wanaotaka kuwekeza hapa nchini kwamba wako salama na Mazingira yameimarishwa katika Taasisi zote zinazohusika.

Katika ziara yake hiyo Dk. Jafo amekagua shughuli zinazofanyika katika kiwanda Cha kuzalisha dawa za kuua mazalia ya mbu (viuwadudu) kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kibaha.

Akiwa kiwandani hapo Waziri huyo amesema Halmashauri zote hapa nchini zinatakiwa kuona jambo la muhimu kupata dawa hizo na kuuza mazalia ya mbu kwenye maeneo yao badala ya kuruhusu wananchi kutumia fedha nyingi kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa huo.

Pia ameelekeza uongozi wa NDC kufanya kampeni maalumu ya kutangaza dawa hiyo kwa wananchi Ili waweze kuitumia kwenye maeneo yao na.kupinguza jasi ya uwepo wa wagonjwa wa malaria.

Akiwa katika eneo la Uwekezaji la Modern Industrial park maarufu Kamaka Dk. Jafo ameahidi kuhakikisha vikwazo kwa wawekezaji vinatatuliwa kwa haraka Ili wanaohitaji kuwekeza wapate fursa hiyo.

Waziri Dk.Jafo pia meahidi kufuatilia upatikani wa kituo cha treni ya mwendokasi (SGR) katika eneo la Kwala ili kurahisisha shughuli za usafirishaji.

Kadhalika Dk.Jafo amesema atamuomba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko kusaidia, upatikanaji wa umeme wa uhakika unaohitajika wa Megawatts 54 katika eneo la Modern Industrial Park.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Simon akizungumza katika ziara hiyo amesema kupitia Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imewezeaha kuwepo kwa mazingira ya rafiki kwenye huduma huduma zote za uwekezaji katika eneo moja.

Akiwa katika eneo hilo la Kamaka ambalo lina ukubwa wa la hekari 1077 ambalo litatumika katika shughuli za uwekezaji ameahidi kuendelea kumkumbusha Waziri huyo kuhusiana na upatikanaji wa umeme wa kutosha katika eneo hilo kuondoa vikwazo kwa wakezwji pindi uzalishaji utakapoanza.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini Mhe Michael Mwakamo amesema amefurahishwa na ujio wa waziri wa Viwanda na Biashara kwani aweza kuona haja kuwa na kutuo cha SGR eneo la Viwanda la Sinotan--Kwala.

Mkurugenzi wa Sinotan Jason Huang amesema Kwa Sasa changamoto iliyopo katika eneo hilo ni upatikani wa umeme na Maji ya uhakika, ambapo Mhe waziri ameahidi kulifanyia kazi kwa haraka akishirikiana na Mamlaka husika.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.