• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Jaji Maghimbi aiasa kamati Maadili Maofisa wa Mahakama Pwani kuzingatia Sheria

Posted on: May 9th, 2024

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Salma Maghimbi amewaasa Viongozi na Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Maofisa wa Mahakama kuhakikisha wanashughulika na malalamiko kwa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu husika na kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia mipaka waliyowekewa kisheria.

Jaji Maghimbi ameyasema hayo wakati akiwaapisha Viongozi na wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Maofisa wa Mahakama wa Mkoa wa Pwani katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi za Mkuu wa Mkoa huo mjini Kibaha ambapo pia amewaasa Viongozi na Wajumbe wa Kamati kuzingatia kiapo chao kwa kutunza siri na kutofanya upendeleo katika utekelezaji wao wa majukumu.

pamoja na kushughulikia malalamiko ambayo kanuni zimeelekeza bila kujadiliwa na kamati,"alisema Maghimbi.

Hayo yalisemwa zi ya Mkoa.

"Kazi hii inahitaji usiri, kutokuegemea upande wowote ikimaanisha bila kuwa na upendeleo, huba wala chuki kwa upande wowote ule kama kiapo kinavyoonyesha na kusimamia ukweli uliopatikana katika uchunguzi," amesema na akaongeza, "bila kufanya hivyo kama uchunguzi haukuwa wa haki mnaweza mkasababisha matatizo makubwa kwa Hakimu anayechunguzwa na hata kusabisha kufukuzwa kazi, jambo la muhimu la kuwakumbusha kila mmoja kuyazingatia aliyoapa kwa kumtanguliza Mungu ili haki iweze kupatikana kwa kila mmoja wenu kulingana na imani zenu za dini."

Amefafanua kuwa mara kwa mara wahusika wanaofikisha kesi zao mahakamani ni wananchi au wawakilishi wa idara mbalimbali za serikali na watu binafsi, hivyo akaonya kuwa inawezekana kupitia hao, kwenye masuala ya kimaadili, kukawa na malalamiko mbalimbali yanayowahusu Mahakimu.

"Kwa muktadha huo na kwa vile sote tunajua kuwa si malalamiko yote ya Mahakimu yanayojadiliwa na vikao hivi, ni jukumu la Kamati kuhakikisha linachambua na kubaki na malalamiko yale tu ambayo yanatakiwa, na hapa ninawasisitiza kuwa kueni makini sana na masuala hayo," ametahadharisha Jaji Maghimbi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo Abubakar Kunenge amesema kuwa watakuwa makini na kutenda haki kulingana na uwezo wao na vipawa walivyopewa na Mungu ili wasijekuwajibishwa endapo watakiuka maadili na kuwa Kamati itasaidia pale ambapo wananchi wataona hawajatendewa haki, na kuhusu maadili Mkuu huyo wa mkoa ametumia fursa hiyo kuwahimiza kuyafikisha kwenye kamati hiyo ili sheria ifuate mkondo wake na haki ipatikane.

Naye Sheikh Hamis Mtupa ambaye ni mjumbe wa Kamati hiyo amesema kuwa watasimamia uadilifu na kutenda haki na kuzingatia kiapo walichokiapa huku Mchungaji Julius Shemkai akisema kuwa hawatakuwa tayati kumwonea mtu na wanamwomba Mungu awasaidie ili waweze kutenda haki wakati wakutimiza majukumu yao.




Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.