• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Jumla ya Miuradi 87 yenye thamani ya Shilingi Bilion 57.3 yatembelewa na Mwenge wa UIhuru Pwani

Posted on: August 11th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge leo amepokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2021 katika Mkoa wa Pwani ukitokea katika Mkoa wa Morogoro.

Kunenge amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka Kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigella pamoja na vijana wakimbiza Mwenge sita kitaifa wakiongozwa na Luten Josephine Poul Mwambashi.

Akipokea Mwenge wa Uhuru Kunenge amebainisha kuwa jumla ya miradi 87, yenye thamani ya shilingi Bilioni 57,311,572,720 itatembelewa katika Halmashauri zote tisa katika Wilaya saba za Mkoa wa Pwani.

Katika miradi hiyo miradi tisa itawekwa mawe ya Msingi, miradi 14 itazinduliwa, miradi minne itafunguliwa na miradi sitini itakaguliwa.

"Miradi yote hiyo itatekelezwa Kwa ushirikiano Mkubwa wa Wananchi, Halmashauri, Serikali kuu pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo, pia miradi hiyo imezingatia kaulimbiu isemayo "Tehama ni Msingi wa Taifa endelevu tuitumie Kwa usahihi na uwajibikaji", amesema Kunenge.

Aidha kauli mbiu hiyo imeambatana pia na jumbe za kudumu za Mwenge wa Uhuru 2021 wa kuitokomeza rushwa, mshikamano wa Taifa, kujenga jamii imara Kwa kuchagua lishe Bora, kupambana na malaria na elimi juu ya dawa za kulevya.

Pia Kunenge amebainisha kuwa katika Mkoa wa Pwani matumizi ya Tehama yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka ambapo hadi Sasa Pwani inajumla ya mifumo ya Tehama 29 inayotumika katika shughuli mbalimbali za Serikali.

Ametaja baadhi ya mifumo hiyo kuwa ni pamoja na mifumo ya ukusanyaji wa fedha katika Serikali za mitaa, mfumo wa usimamizi wa taarifa za Hospitali, mfumo wa usimamizi wa elimu Msingi na mfumo wa usimamizi wa taarifa za sekta ya kilimo.

"Mifumo hii imesaidia kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali Kwa utunzaji wa taatifa muhimu", Amesema Kunenge.

Aidha amesema kutokana na kukua Kwa Tehama kumeongeza pia watu wanaotumia vibaya na kusababisha upotevu wa fedha na kufanya udhalilishaji na vitisho sambamba na ongezeko la changamoto ya malezi.

Pamoja na changamoto hizo Kunenge amesema mkoa wa Pwani umejipanga Kwa kushirikiana na Wananchi, wadau wa maendeleo pamoja na Serikali kunitumia Tehama katika Mkoa wa Pwani Kwa maendeleo endelevu.

Kunenge amekabidhi Mwenge Maalum wa Uhuru 2021, Kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Zainab Abdallah, ambapo miradi mbalimbali itatembelewa na kuzinduliwa.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.