• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kunenge Aagiza ujenzi ufanyike Usiku na Mchana

Posted on: September 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameifanya ziara ya siku moja jana katika Wilaya ya Rufiji na kukagua maendeleo ya ujenzi wa bwalo la chakula katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bibi Titi na ujenzi wa Barabara ya Nyamwage-Utete. Ziara hiyo inalenga kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa viwango Bora.

Akiwa katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Bibi Titi, Kunenge amewataka wakandarasi kuongeza kasi ya ujenzi na kuhakikisha ubora unaozingatiwa. Ameeleza kuwa mkandarasi anatakiwa kumaliza ujenzi wa bwalo ifikapo Septemba 30, ili wanafunzi waanze kulitumia mara moja.

Ameagiza kuwa indaliwe ratiba upya pamoja na kuongeza wafanyakazi na kufanya Shughuli zaidi ya moja pale inavyowezekana ili kumaliza ujenzi kwa wakati.

Pia, ameagiza kwamba kama kuna changamoto za kiufundi, taarifa itolewe mapema ili kutafuta suluhisho.

Kunenge alisisitiza, "Tunataka bwalo hili likamilike kwa wakati. Tumewaambia wakandarasi waongeze kasi, kwani haturidhishwi na hali ya sasa. Tarehe 30 Septemba lazima iwe mwisho wa kazi."

Katika ukaguzi wa Barabara ya Nyamwage-Utete yenye urefu wa kilomita 33.7, inayojengwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 43, Kunenge alionya kuwa mradi huo lazima ukamilike kwa wakati. Barabara hiyo inajengwa na mkandarasi M/s China Railway Seventh Group (CRSG), na mkuu wa mkoa aliwataka kuhakikisha ubora na muda wa mradi unazingatiwa ili kuepuka malalamiko kutoka kwa wananchi

"Ujenzi ukamilike kwa wakati nataka Mhe Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akija hapa wananchi waseme asante na sio kutoa malalamiko" alisema Kunenge.

Awali, Mhandisi Joseph Chuwa kutoka TANROADS alieleza kuwa mradi huo umefikia asilimia 5.01, sawa na thamani ya shilingi bilioni 1.9, huku miezi 14 ya utekelezaji ikiwa imepita.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.