• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kunenge azitaka Halmashauri Kuongeza umahiro ukusanyaji wa Mapato

Posted on: June 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amezielekeza Halmashauri za Mkoa huo kuibua vyanzo vipya vya mapato na kuongeza umahiri wa kukusanya sambamba na kuwa makini kwenye matumizi kwa kutumia maeneo yenye tija.

Kunenge ameyasema hayo kwa nyakati tofauti leo Juni 20, 2024 alipohudhuria vikao vya mabaraza ya Halmashauri ya Mkuranga na Kisarawe kujadili hoja za Ukaguzi wa Hesabu za Serikali katika maeneo hayo.

Amezileza Halmashauri hizo kuwa Mapato yanatengenezwa, hivyo ni lazima waweke mikakati ya kuibua vyanzo vipya na kuvifanya vikue na kuwa endelevu katika kuongeza mapato ya Halmashauri.

"Fursa mnazo na mnafanya vizuri lakini mnaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo, kinachotakiwa sio tu asilimia ya makusanyo ya lengo (bajeti), bali ni kiasi gani unapata ili kuwaletea wananchi maendeleo," amesema.

Amewasisitiza madiwani na watendaji katika halmashauri hizo kuwa wakati wote wafikirie nini wanaweza kufanya ili kuzisaidia halmashauri zao kutoa huduma kwa wananchi.

"Jifunzeni, kuweni wabunifu na uzeni fursa zenu ili ziweze kuzalisha na kuwapatia tija, tumieni vizuri fursa zote," amesisitiza.

Akiongelea matokeo, Mkuu huyo wa mkoa ameziasa halmashauri hizo kutekeleza mradi mmoja kwa ukamilifu ndipo watekeleze mradi mwingine badala ya kugawa fedha kidogo kidogo kwa miradi ambayo matokeo yake ni kutokamilika na kutoleta tija kwa jamii akisema "Mnagawana vifedha vidogo vidogo vya ujenzi wa barabara matokeo yake hakuna kitu kinachoeleweka katika miradi hiyo."

Katibu Tawala wa Mkoa huo ambaye pia ni Skauti Mkuu wa Tanzania Rashid Mchatta amezipongeza Halmashauri hizo kwa kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir ametoa Rai kwa watumishi kuwa waadilifu na kila Mkuu wa idara anatakiwa kukaa na wataalamu wake na kujadili mikakati ya kuinua mapato.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amemuahidi Mkuu wa Mkoa huo kushirikiana na Watendaji kuzuia uzalishaji wa hoja mpya sambamba na kusimamia utekelezaji wa miradi iliyoelekwzwa katika Wilaya hiyo

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Naibu Katibu Mkk OR- TAMISEMI azuru Mkoa Pwani kwa ukaguzi wa Huduma za Afya

    June 03, 2025
  • RC Kunenge aongoza kikoa cha kupitia taarifa ya Pato la Mkoa (GDP).

    June 03, 2025
  • Mkoa wa Pwani waanza maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya mtoto wa Afrika .

    May 30, 2025
  • DC Komba awahimiza Wananchi na Watumishi wa Mkoa wa Pwani Kutekeleza kwa Vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.