• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Naibu Wazir wa Maji Apongeza Ongezeko la Upatikanaji wa maji Mkoa wa Pwani

Posted on: January 7th, 2025

Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Mhandisi Kundo A. Mathew, amepongeza uongozi wa Mkoa wa Pwani chini ya Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, kwa utekelezaji wa vitendo wa sera za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, hususan katika sekta ya maji. Jitihada hizi zimepelekea ongezeko la upatikanaji wa maji mkoani Pwani, ambalo sasa limefikia asilimia 86.

Mheshimiwa Kundo alitoa pongezi hizo wakati wa ziara yake ya siku mbili mkoani humo, ambapo alifanya kikao kazi na wataalamu wa sekta ya maji na kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali ya maji. Ziara hiyo imelenga kuimarisha juhudi za kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama.

Katika kikao kazi hicho, Naibu Waziri alisisitiza umuhimu wa kuboresha huduma kwa wananchi na aligiza kuanzishwa kwa kitengo maalum cha kutoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya maji. Aidha, alielezea mafanikio ya miradi ya majisafi na usafi wa mazingira inayotekelezwa na serikali kwa manufaa ya wananchi.

“Tupo hapa kuhakikisha maelekezo ya Mheshimiwa Rais yanatekelezwa kwa vitendo. Ni haki ya kila mwananchi kupata maji safi na salama, lakini pia taarifa sahihi kuhusu huduma za maji endapo kutakuwa na changamoto,” alisema Mheshimiwa Kundo.

Mheshimiwa Kundo alibainisha kuwa awali upatikanaji wa maji mkoani Pwani ulikuwa asilimia 59, lakini juhudi za serikali ya awamu ya sita zimefanikisha ongezeko hilo kufikia asilimia 86. Pia alipongeza juhudi za wadau wa maji, hususan DAWASA, kwa kubuni miradi mikubwa kama ule wa Rufiji unaotarajiwa kuzalisha maji mara tatu zaidi ya sasa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, alimshukuru Naibu Waziri kwa ziara yake, akisema kuwa itachochea maendeleo ya sekta ya maji na kufanikisha dhamira ya Mheshimiwa Rais ya kumtua mama ndoo ya maji kichwani.

“Mkoa wetu unakua kwa kasi kutokana na uwepo wa viwanda na ongezeko la makazi. Tunahitaji huduma bora ya maji, na ujio wa Mheshimiwa Naibu Waziri unaleta matumaini makubwa kwa wakazi wa Pwani,” alisema Mheshimiwa Kunenge.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.