• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani kuendele kusimamia maona ya Mhe. Rais kuhusu Uwekezaji-Kunenge

Posted on: November 2nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa wake utaendelea kusimamia maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha unaongeza mvuto kwa wawekezaji.

Hayo ameyazungumza Novemba 1,2024 wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, katika kiwanda cha Goodwill kilichopo Mkuranga, Kunenge alisema uwekezaji huo una faida kubwa kiuchumi na unaleta heshima kwa taifa, kwani bidhaa zinazozalishwa zinakuwa na chapa ya “Made in Tanzania.”

Kunenge alieleza kuwa Mkoa wa Pwani una viwanda vingi vinavyochangia uchumi wa nchi, huku soko kuu la bidhaa hizo likiwa Dar es Salaam.

Alisisitiza kuwa wataendelea kulinda na kuboresha mazingira ya uwekezaji ili bidhaa zinazozalishwa ziwe na mchango chanya kwa uchumi wa taifa na kuleta heshima kwa Tanzania kimataifa.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, aliahidi kuimarisha ushirikiano na Mkoa wa Pwani, si tu katika sekta ya viwanda, bali pia katika sekta nyingine muhimu kwa manufaa ya wananchi wa mikoa yote miwili. Chalamila alimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji, akitolea mfano wa kiwanda cha Goodwill kinachomilikiwa na mwekezaji kutoka China, kama alama ya juhudi kubwa za serikali kuvutia wawekezaji nchini.

Pia, Chalamila alikipongeza kiwanda cha Goodwill kwa kutoa ajira kwa wazawa na akasisitiza umuhimu wa kiwanda hicho kuendelea kuzalisha bidhaa bora na kurudisha sehemu ya faida kwa jamii kupitia uwajibikaji wa kijamii (CSR).

“Viwanda kama Goodwill ni muhimu kwa kuimarisha uchumi na kuongeza ajira. Tutahakikisha ushirikiano wetu na Mkoa wa Pwani unaendelea kuimarika kwa manufaa ya wote,” alisema Chalamila. Ushirikiano kati ya mikoa hiyo unalenga kuhakikisha viwanda na wawekezaji wanapata mazingira mazuri ya kufanyia biashara, hatua inayosaidia kukuza uchumi na ustawi wa jamii katika maeneo yote mawili.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.