• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Pwani waanza kampeni ya utoaji elimu kuhusu malezi na makuzi bora ya Watoto

Posted on: June 10th, 2025

Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika, Mkoa wa Pwani umeanza rasmi kushirikiana na taasisi pamoja na wadau mbalimbali katika kutekeleza kampeni ya utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu masuala ya malezi, makuzi na ulinzi wa mtoto.

Akizungumza kuhusu kampeni hiyo, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa ambaye pia ni mratibu wa Dawati la Watoto, Bi. Roseline Kimaro, alisema kuwa elimu inayotolewa inahusu maeneo mbalimbali muhimu kama vile uwajibikaji wa wazazi, walezi na jamii kwa ujumla katika kuhakikisha watoto wanapata malezi na makuzi bora. Pia, elimu hiyo inahusu haki za watoto, ukatili wa kijinsia na wa mitandaoni dhidi ya watoto, pamoja na athari za mila na desturi potofu zinazoweza kuathiri mwelekeo wa maisha ya mtoto.

Pia alitaja Maeneo mengine yanayogusiwa katika kampeni hiyo ni pamoja na ndoa na familia, ukiukwaji wa maadili katika jamii kama vile matumizi ya lugha zisizo na heshima.

Aidha, asilsema Maadhimisho yanalenga kuwaelimisha na kuwakumbusha wazazi au walezi na watoa huduma wote wajibu wao katika kutekeleza haki tano za msingi za mtoto ambazo ni haki ya kuishi kwa mtoto bila kukatisha uhai wake, haki ya kuendelezwa kielimu, kiutamaduni na vipaji vya mtoto, haki ya kulindwa dhidi ya ukatili wa aina yoyote, haki ya kushiriki kutoa maoni katika masuala yanayomuhusu mtoto kulingana na umri wake na haki ya kutobaguliwa kwa mtoto kutokana na hali yake.

Pia Bi. Kimaro alitoa wito kwa taasisi, mashirika na wadau wote wenye nia ya kutoa elimu hiyo muhimu kushirikiana na serikali ya mkoa ili kuhakikisha jamii inapata maarifa sahihi kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya watoto.

Kilele cha kampeni hii kinatarajiwa kufanyika tarehe 16 Juni 2025, katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, mkoani Pwani na Kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika kwa mwaka 2025 ni "Haki za Mtoto:Tulipotoka, Tulipo na Tuendako”. Kaulimbiu hii inaitaka jamii kutafakari upatikanaji wa haki za watoto tangu zilipoainishwa na Sera ya Maendeleo ya Mtoto mwaka 2008.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waanza kampeni ya utoaji elimu kuhusu malezi na makuzi bora ya Watoto

    June 10, 2025
  • Madaktari Bingwa 64 wawasili Pwani kwa Huduma maalum chini Mpango wa Rais Dkt Samia

    June 09, 2025
  • RC Pwani apokea msaada wa Ng’ombe 300 na Mbuzi 2,000 kwa Ajili ya Ibada ya Iddi kutoka Taasisi ya IDDef ya Uturuki.

    June 06, 2025
  • Mchatta Afungua Mashindano ya Umisseta Kimkoa

    June 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.