• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RAS Pwani Afungua Mafunzo ya Mfumo wa PEPMIS kwa Watumishi wa Umma.

Posted on: June 20th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta, amefungua rasmi mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa PEPMIS (Watumishi Portal), kwa lengo la kuwajengea uwezo watumishi wa umma katika matumizi sahihi ya mfumo huo, pamoja na upangaji wa majukumu kulingana na taaluma na nafasi zao ili kuongeza ufanisi katika upimaji wa kazi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mchatta alisema mfumo wa PEPMIS ni nyenzo muhimu ya kiutumishi inayosaidia kupanga, kutathmini, na kufuatilia utekelezaji wa majukumu ya kila mtumishi kwa mujibu wa malengo ya taasisi na bajeti husika.

“Ni muhimu kila mtumishi kujiwekea majukumu yanayotekelezeka na kuweka viashiria vinavyoonyesha namna kazi inavyopimwa kwa matokeo,” alisema Mchatta, akisisitiza umuhimu wa kulinganisha majukumu na rasilimali zilizopo katika bajeti ya mwaka wa fedha unaotarajiwa kuanza Julai 2025.

Mafunzo hayo yameratibiwa na wakufunzi kutoka Ofisi ya Rais – Menejiment ya Utumishi wa Utawala Bora ambayo yamehusisha washiriki kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, wakiwemo Wakuu wa Sehemu na Vitengo, Makatibu Tawala wa Wilaya, pamoja na watumishi kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Shirika la Elimu Kibaha, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tumbi, na Shirika la Nyumbu (TATC).

Kwa upande wao, washiriki wa mafunzo hayo wameeleza kuwa yamewasaidia kupata uelewa wa kina kuhusu mfumo huo na umuhimu wake katika kuboresha uwajibikaji na utendaji kazi wa kila mtumishi.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Bi. Moza Mtete, amesema mafunzo hayo yamemwezesha kuelewa namna bora ya kupanga majukumu yake kwa kuzingatia vipaumbele, hatua itakayosaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji na upimaji wa kazi anazozitekeleza.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RAS Pwani Afungua Mafunzo ya Mfumo wa PEPMIS kwa Watumishi wa Umma.

    June 20, 2025
  • RAS Mchatta Aagiza Miradi ya Maendeleo kukamilika kwa wakati.

    June 19, 2025
  • Katibu Tawala Pwani Azitaka Halmashauri za Bagamoyo na Chalinze Kudhibiti Matumizi ya Fedha za Umma.

    June 18, 2025
  • Siamini katika kushindwa - RC Kunenge.

    June 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.