• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge asema hatokuwa tayari kumfumbia macho mtu yeyote atakaebainika kuhujumu Wananchi.

Posted on: September 6th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe.Abubakari Kunenge, amesema hatokuwa tayari kumfumbia macho mtu yeyote atakaebainika kuhujumu Wananchi kwa kukwamisha utekelezaji wa bajeti na kuacha miradi kuwa viporo, hali inayosababisha kurudisha fedha Serikali kutokana na udhaifu huo.

Aidha, amekemea vikali tabia ya baadhi kujiingiza katika utekelezaji wa miradi kwania ya kujinufaisha wenyewe kwani kufanya hivyo kunawacheleweshea Wananchi maendeleo.

Kunenge alitoa rai hiyo katika kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2021/2022, mkataba wa lishe, miongozo ya elimu na tathmini ya ukusanyaji wa mapato kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Pwani, Kibaha.

Mkuu huyo wa Mkoa ambae alikuwa Mwenyekiti wa kikao hicho, alieleza kuwa Wananchi wanawapima kulingana na utatuzi wa kero zinazowakabili hivyo, lazima wajipime na wajipange kupata matokeo chanya.

"Kama utekelezi bajeti ,utakuwa unakwamisha huduma za maendeleo, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan anatupatia mafungu ya fedha za kutosha, hatuwatendei haki wananchi, Tunaletewa fedha halafu mwisho wa mwaka miradi haitekelezwi na fedha zinabaki" Inapaswa tuwajibishane, Hatuwezi kuwaacha. Alisisitiza Kunenge.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Pwani, Zuwena Omary alishukuru kwa kupata ushirikiano wa kutosha tangu kufika Mkoani hapo na kusisitiza kufanya kazi kwa timu na ushirikiano ili kufikia maendeleo yanayokusudiwa na Mkoa.

Nae Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu, Rukia Muwango alieleza kuwa, Mwaka wa fedha 2022/2023 Mkoa wa Pwani fungu 71 umeidhinishiwa bajeti ya Sh. 335,110,456,000 kati ya kiasi hicho Sh. 206,063,824,000 ni ruzuku ya matumizi ya kawaida, Sh. 80,568,294,000 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na Sh. 48,478,338,000 za mapato ya ndani ya Halmashauri.

Aliendelea kufafanua kwamba, bajeti ya Mkoa wa Pwani kwa mwaka 2022/2023 imeongezeka kwa Sh. 36,279,573,000 sawa na asilimia 12.14 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2021/2022. Ongezeko hilo limetokana na mishahara kwa asilimia 19.38, matumizi mengineyo (OC) asilimia 21.82 , fedha za ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo asilimia 9.44 na mapato ya ndani ya Halmashauri asilimia 23.33.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.