• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Kunenge ashuhudia Utiaji wa Sain kwa Mkataba wa Uzalishaji Mbolea na Viatilifu hai

Posted on: August 6th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe Abubakar Kunenge leo Agosti 6,2022 ameshiriki na Mhe Liberata Mulamula Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika Hafla ya utiaji Saini kwa Mkataba wa Uzalishaji wa Mbolea na Viuatilifu hai katika Kiwanda cha kuzalisha Bidhaa za Kibiolojia Tanzania (Tanzania Biotech Product Ltd) Kilichopo Kwenye Eneo la Viwanda TAMCO.

Hafla hiyo imeshuhudiwa pia na Mwakilishi wa Balozi wa Cuba Nchini Bw. Olando Dias Lodrick Naibu Waziri Viwanda, Biashara na Uwekezaji na Viongozi wa Wizara kutoka TAMISEMI Wizara ya Fedha na Management ya shirika la NDC.

Akitoa Salam za Mkoa Kunenge Amemshukuru Mhe Rais kwa kuboresha Mazingira ya Uwekezaji Mkoa wa Pwani

Ameeleza wanaendelea na jitihada za kuhakisha wanaongeza Viwanda katika Mkoa huo.

"Mkakati wetu ni wa aina mbili ikiwemo kukuza viwanda Vidogo na vya kati kuwa Viwanda Vikubwa na kupata Wawekezaji wapya wa Viwanda vikubwa" Ameeleza Kunenge.

Ameeleza kuwa Mkoa una Kongani 23 za Viwanda ikiwemo hiyo ya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Ameeleza kuwa Kutokana na Jitihada kubwa za Mhe Rais Mkoa una Kongani ya Viwanda Kubwa Barani Afirika Kibaha -Kwala Sino Tan Kwala Industrial Park itakayo kuwa na Viwanda 350.

Amemshukuru Mhe Rais kwa kutoa kipaumbele kwenye Upatikanaji wa Miundombinu ya Umeme maji na Barabara kwa Mkoa huo. Miundombinu hii ni Muhimu kwa Uwekezaji.

"Muda si mrefu tutanza kunufaika na umeme kutoka Rufiji, Ujenzi kituo Cha Kupoozea Umeme unaendelea Chalinze kwa gharama ya Sh Bilioni 29.8 na ifikapo January 2023 tutaanza kupata Mw 1000 kutoka hapo" Ameeleza Kunenge.

Ameeleza kuwa Serikali inaendelea na Ujenzi wa Vituo vipya vya Kupoozea Umeme ambapo Tayari Wakazi wa Mkoa huo wameanza kunufaika ikiwemo kituo cha Luguruni MVa 180 kilichojengwa kwa gharama ya Sh Bilion15.2, Ujenzi wa Kituo Mkuranga cha MVA 240 kwa Gharama ya Sh Bilioni 59 na Ujenzi wa Kituo cha Zegereni MVA 240 kwa Gharama ya Tsh Bilioni 25

Ameeleza hali ya Upatikanaji wa Maji ni nzuri ambapo Serikali imetenga fedha kwa DAWASA kwa mwaka 2022/23 Sh. Bilion 175 kutekeleza Miradi mbalimbali na RUWASA kwa Mwaka huu wametengewa bilion 21.5.

Ameeleza kuwa Kutokana na kupatikana kwa Miundombinu muhimu ya Uwekezaji ikiwemo Sera nzuri Mkoa Pwani ni Mahali sahihi kwa Uwekezaji

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.