• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo awataka Ma DC walioshishindwa kutekeleza agizo lake la Madawati na Viti Kujieleza ..

Posted on: September 2nd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa Wilaya za Mkoa huo ambao hawajatekeleza agizo la kutengeneza madawati kumpa malelezo ya sababu zilizowakwamisha.

Akiongea wakati alikabidhiwa madawati na Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Luteni Kanali Patrick Sawala mjini Kibaha, Ndikilo alisema agizo hilo alilitoa mwezi mmoja uliopita lengo likiwa ni kumaliza tatizo la watoto kukaa chini katika Mkoa huo.

"Wakuu wa Wilaya ambao hawajakamilisha kutengeneza madawati nipate maelezo ya kina yenye sababu za mashiko tujue kwanini hawajakamilisha hadi sasa" alisema Ndikilo.

Mkuu huyo alisema, Mkoa huo umejipanga kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, ili wanafunzi wapate Elimu katika Mazingira bora.

" Tulikubaliana na Wakuu wa Wilaya katika kikao kazi tulichoketi mwezi mmoja uliopita hatuwezi kuwa na watoto wanaokaa chini na tarehe moja leo ndio ilikuwa mwisho" alisema.

Alisema kuwa , uwepo wa madawati ya kutosha shuleni itamsaidia mwanafunzi kuacha utoro, na mwalimu atakuwa anafundisha katika Mazingira mazuri .

Aidha Ndikilo aliwahimiza wakurugenzi kuacha kukimbilia kutengeneza madawati, Viti na meza kwa beii rahisi na badala yake kwenda sehemu ambazo zinamatengenezo yenye ubora .

" Madawati haya yanayotengenezwa hapa katika shirika la Nyumbu ni tofauti na mitaani, yanauwezo wa kudumu kwa miaka mitano tofauti na huko mtakakoenda ambako kila mwaka mtakuwa mnatenga bajeti kukarabati au kutengeneza upya" alisema Ndikilo

Nae Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Dkt Delphine Magere alimpongeza Mkuu wa Wilaya ya Rufiji kwa kutekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa kwa wakati.

Alisema Kauli mbiu ya Pwani hakuna kukaa chini itatekelezwa kwa vitendo kwani Mkoa huo ni wapiganaji wanaopigania nchi na kwahivyo nchi itakuwa na wasomi wakupeleka uchumi mbele.

Akimkabidhi madawati hayo kwa Mkuu wa Mkoa , Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Luteni Kanali Patrick Sawala alisema, Wilaya hiyo ilikua na mapungufu ya meza 1882, Viti 231 na madawati 3945 na kwamba wamejipanga kuhakikisha wanatekeleza mpango huo.

Alimshukuru Mkurugenzi wa Shirika TACT Nyumbu kwa kumaliza matengenezo ya Viti na meza 300 kwa wakati.

Mkurugenzi wa Shirika TACT Nyumbu Brigedia General Hashimu Komba alisema, mwitikio ni mkubwa kwa watendaji kuitikia agizo la Mkuu wa mkoa kutumia Shirika hilo kutengeneza madawati, Viti na meza zinazohitajika.

Alisema, mbali ya kukamilisha viti na meza kwa ajili ya Rufiji pia wanatarajia kukabidhi viti na meza 400 kwa ajili ya Wilaya ya Mkuranga.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.