• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC NDIKILO - UPATIKANAJI WA TAKWIMU SAHIHI KATIKA SEKTA YA KILIMO UTALETA MAPINDUZI YA KIMAENDELEO

Posted on: September 27th, 2017

Serikali Mkoani Pwani, imetoa rai kwa Watendaji,Wenyeviti wa Mitaa/Vijiji na wataalam kuhakikisha wanashirikiana na wadadisi na wasimamizi watakaofanya kazi ya utafiti wa kilimo mwaka 2017/2018, ili kupata takwimu halisi.

Hatua hiyo itasaidia, kupanga mipango ya maendeleo katika sekta ya kilimo ambayo inaajiri zaidi ya asilimia 75 ya watanzania hasa katika maeneo ya Vijijini.

Akifungua mafunzo ya siku tano ya wadadisi wa utafiti wa kilimo mwaka huu wa fedha, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo, alisisitiza endapo utakuwepo ushirikiano mzuri utawezesha kuweka mikakati ya baadae ya Kimkoa na Taifa.

Aidha aliwaomba wananchi kutoa ushirikiano wa kutosha  kwa wadadisi na wasimamizi hao ili kutoa taarifa sahihi kuhusiana na utafiti.

Mhandisi Ndikilo, alieleza kuwa, kwa mujibu wa sheria ya takwimu namba 9 ya mwaka 2015 taarifa zitakazokusanywa zitatunzwa kwa usiri na zitatumika kusimamia kupatikana takwimu halisi za kilimo.

Aidha alisema kuwa, sekta ya kilimo ina mchango mkubwa kwenye uchumi wa nchi ambapo mwaka 2016 mchango wa sekta hiyo pato la taifa ulikuwa asimilia 29.1,

”kati ya asilimia hiyo kilimo cha mazao kilichangia asilimia 15.5, Mifugo asilimia 7.7, misitu asilimia 3.9 na sekta ya uvuvi ilichangia asilimia 2.0 “ alisema Mhandisi Ndikilo.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa alisema kuwa, mafunzo hayo ni hatua muhimu katika utekelezaji wa mipango ya kuboresha maisha ya watanzania.

Mhandisi Ndikilo, alifafanua kuwa Serikali imeandaa mipango madhubuti ya muda mfupi na mrefu inayolenga katika kuimarisha uchumi na kuondoa umaskini ikiwa ni pamoja na dira ya Taifa ya maendeleo ya mwaka 2025. Serikali na wadau bado inaendelea kuhitaji takwimu rasmi kwa ajili ya kupanga utekelezaji na kutathmini program mbalimbali za maendeleo ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa.

Mhandisi Ndikilo aliishukuru Serikali ya Marekani kupitia shirika lake la mendeleo ya Kitaifa USAID kwa msaada wa kiufundi na fedha uliowezesha kufanikisha utafiti

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.