• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Viongozi wa Tasisi za Tumieni ubunifu wenu kuwapatia mafunzo Watumishi wa Umma.

Posted on: April 26th, 2021

Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mohamed Mchengerwa ametoa agizo kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) hapa nchini kupita kwenye kila Halmashauri zote ambazo zimepata hati chafu kwa mujibu wa Mkaguzi na mdhibiti wa hesabuza Serikali na kufanya uchunguzi.

Mchengerwa alitoa agizo hilo April 26, Wilaya ya Rufiji alipokuwa kwenye ziara ya siku moja kuongea na watumishi wa Halmashauri ya Kibiti na Rufiji.

Alisema kuna haja ya Halmashauri hizo kufanyiwa uchunguzi ili kubaini watendaji wasiowaaminifu na hatua za kisheria zichukuliwe.

Alisema Halmashauri hizo zinatakiwa kufanyiwa uchunguzi ili ibainike sababu ya kupata hati chafu na waliohusika ili kuondoa watu ambao si waaminifu kwenye Utumishi.

"Takukuru kwenye maeneo ambayo Halmashauri zimepata hati chafu wafanye uchunguzi ili taarifa hizo zisaidie kuona sehemu ambazo hawakufanya vizuri na kama Kuna uzembe hatua zichukuliwe" alisema Mchengerwa

Mchengerwa pia aliwataka watendaji wa TAKUKURU kuhakikisha wanahudhuria kwenye mikutano inayoitishwa na wakuu wa Wilaya kwenye maeneo yao ili watoe elimu kwa wananchi.

Aidha Waziri huyo aliwataka viongozi wa Taasisi za Umma kushughulikia mashauri ya watumishi waliosimamishwa kazi waweze kupata haki zao kisheria.

Alisisitiza pia utolewaji wa mafunzo na semina kwa watumishi zitakazosaidia kuwajenga kuendelea kuwapa waadilifu kwenye Utumishi wao.

" Viongozi wa Taasisi, wakiwemo wakurugenzi tumieni ubunifu wenu kuwapatia mafunzo watumishi, zipo Taasisi ziko tayari kusaidia kutoa semina na mafunzo, wapeni fursa watumishi hii inasaidia kukumbushana masuala ya maadili kazini tisizibe fursa" alisema.

Mchengerwa alisema Serikali ya awamu ya sita imejipanga pia kuondoa kero za watumishi ambapo wanaostahili watapandishwa madaraja na kulipwa stahiki zao.

Alisema viongozi wa Taasisi za Umma wanatakiwa kufikisha taarifa za watumishi ambao hawajapata Shea madaraja ili ziweze kufanyiwa kazi kwa uharaka.

Waziri huyo pia alitoa onyo kwa watumishi wanaofanya kazi huku wakiwa na tabia ya ulevi na kuchelewa na kuwahi kutoka kazini kinyume na mkataba wa kazi kwani atakayegundulika hatua zitachukuliwa..

Awali mkuu wa Wilaya ya Rufijji Luteni Kanal Patrick Sawala alisema Wilaya hiyo ina upungufu wa watumishi zaidi ya 800.

Luten Kanal Patrick alisema kuwa katika Wilaya hiyo watumishi ambao wanaenda kinyume na maadili walifukuzwa kazi ili kuimarisha Utawala Bora.

Mkuu huyo wa Wilaya alisemakati ya watumishi hao 10 ni kutoka idara ya Elimu Sekondari na watatu kutoka idara ya afya.

Alimuomba Waziri huyo kushughulikia kero zinazowakabili watumishi wa Wilaya hiyo ikiwemo ukosefu wa usafiri na vitendea kazi katika kutekeleza majukumu yao.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.