• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Viwanda

Start Date: 2016-07-01
End Date: 2025-06-30

MUHTASARI WA ORODHA YA VIWANDA MKOA WA PWANI NI   KAMA IFUATAVYO:-

(a) Jumla ya  Viwanda Vikubwa, vya Kati na Vidogo 260 vimejengwa kama ifuatavyo (Mkuranga viwanda 54, Kibaha Vijijini viwanda 76, Kibaha Mji viwanda 71, Chalinze  viwanda 32, Bagamoyo viwanda 18, Kisarawe viwanda 4 na  Mafia viwanda 5.  Viwanda vingi Chalinze ni vya kokoto (Quarry) na Kibaha ni vya Matofali. Angalia Kiambatisho A.

Vifuatavyo ni baadhi ya viwanda vikubwa vilivyopo Mkoa wa Pwani:-

(i)    Kiwanda cha Vigae (Tiles) cha Goodwill (Tanzania) Ceramic Co., Ltd kilichopo Mkuranga.  Kiwanda hiki kinamilikiwa na Mwekezaji kutoka nchini China, na kinatarajiwa kuanza uzalishaji wa Mapema 2017

(ii) Kiwanda cha Nondo cha Mohamed Kiluwa Group and Company Ltd cha Mlandizi ambacho kinatarajiwa kuanza uzalishaji mapema 2017.

(iii) Kiwanda cha Kusindika matunda, (Sayona Fruits) kilichopo Kijiji cha Mboga - Chalinze - Bagamoyo. Mwekezaji ni Makampuni ya MMI (Motisun Group) ambayo yatawekeza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 55. Kiwanda kinaendelea kujengwa na kitakamilika Oktoba, 2017.

(iv) Kiwanda cha Saruji itakayojulikana kama “Mamba Cement” kilichopo Kijiji cha Talawanda na Magulumatali- Bagamoyo. Mwekezaji ni Makampuni ya MMI (Motisun Group). Nao pia kibali cha ujenzi kimepatikana na ujenzi uko mbioni kuanza.

(v)Kiwanda cha Nondo cha MMI Intergrated Steel Mill kilichopo eneo la Zegereni, Halmashauri ya Mji Kibaha. Mwekezaji amepewa kibali cha ujenzi na ujenzi utaanza wakati wowote.

(vi) Kiwanda cha Kuunganisha Magari ya Zimamoto na Matrekta cha ubia kati ya SUMA JKT na EQUATOR Automech Co. Ltd. na kuunda Kampuni iitwayo “EQUATOR SUMAJKT LIMITED”.

· Wataunganisha magari ya zimamoto kwa kushirikiana na Kampuni ya ST AUTO iliyopo nchini Russia.

· Magari yatatengenezwa kwa kutumia viwango vya Kimataifa.

· EQUATOR SUMAJKT LTD itakuwa ni kiwanda cha pili katika Bara la Afrika, cha kwanza kipo Afrika ya Kusini.

· Ajira zitakazotengenezwa ni 200

· Eneo la kiwanda ni Ekari 63, zipo Ruvu JKJ

· Kiwanda kimekamilika, kitaanza ‘Operation” Januari, 2017.

(vii) Kiwanda cha Elven Agria Company Ltd. kinajengwa Mapinga Bagamoyo kwa ajili ya ukaushaji wa matunda ya aina mbalimbali.  Kiwanda kitafunguliwa Januari, 2017.

(viii) Kiwanda cha Kusindika Matunda cha Kampuni ya Bakhresa Food Products Ltd. kimezinduliwa Septemba, 2016.

(ix) Kiwanda cha Vigae (Tiles) cha Kampuni ya TWYFORD (Tanzania Ceramic Tiles Factory) kutoka China kinachojengwa eneo la Pingo katika Halmashauri ya Chalinze, Bagamoyo. Kitatengeneza ajira za moja kwa moja (direct) 2,000 na ajira nyingine 4,000 ambazo siyo za moja kwa moja (indirect). Ujenzi wa Kiwanda unaendelea na kinatarajia kuanza uzalishaji tarehe 1 Julai, 2017 .

(x) Kiwanda cha Sabuni ya Unga cha Kampuni ya KEDS (T) CO LTD kutoka China kinachojengwa eneo la Viwanda la Mkoani katika Halmashauri ya Mji Kibaha. Ujenzi wa Kiwanda unaendelea na kinatarajia kuanza uzalishaji Mwezi Juni, 2019

(xi) Kiwanda cha kuunganisha matrekta TAMCO katika Halmashauri ya Mji Kibaha. Kimeanza ujenzi Mwaka 2017 Kinatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2017.mradi huu utagharimu kiasi za dola za kimarekeni milioni 55 pindi  utakapokamilika,ukijumuisha ujenzi wa kiwanda cha matrekta na mitambo yake, vituo nane kwaajili ya huduma kwa wateja( service centers) mafunzo kwa wafanyakazi na manunuzi kwa vifaa vya kuunganishia matrkta jumla ya 2,400

(xii)  GLOBAL PACKAGING (T) LTD: Kiwanda hiki kilianza kujengwa mwaka 2015 na kuanza uzalishaji mwaka 2016. Kiasi cha Billion 7.6 zimewekezwa, Kiwanda kipo Halmashauri ya Mji Kibaha. Mmiliki wa kiwanda hiki ni Wande Printing and Packaging Co. LTD na NDC.

(xiii) Kiwanda cha kuunganisha Bodi za Magari cha BENBROS kipo katika hatua ya kutwaa ardhi katika Halmshauri ya Wilaya ya Kibaha.

 Kuangalia kiambatanisho A, Bofya Hapa


For more details about Investments Opportunities in Coast Region Click Here to Download.



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.