Posted on: February 27th, 2023
Afisa elimu Mkoa wa Pwani Sara Mlaki amewataka Maafisa wanaosimamia elimu mkoani humo kuhakikisha wanalinda usalama wa Wanafunzi wawapo shuleni.
Mlaki aliyasema hayo jana Februari 24, 2023 katika k...
Posted on: February 24th, 2023
Mwenyekiti wa kamati ya Usalama mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakari Kunenge amesema Serikali inaendelea kusimamia Maamuzi ya hukumu za mahakama katika migogoro ya ardhi kata ya Mapinga.
Amewashauri kuwa...
Posted on: February 22nd, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amewataka Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutembea kifua mbele kutokana na yale yanayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Sami...