Posted on: June 4th, 2024
Watumisha wa umma mkoani Pwani wameaswa kutumia mfumo wa kidijitali wa manunuzi ya umma (Nest) ambao unasimamiwa na mamlaka ya udhibiti wa manunuzi ya Umma (PPRA).
Rai hiyo imetolewa leo Juni 4, 20...
Posted on: June 3rd, 2024
Madaktari Bingwa wa mama Samia 45 wamepiga kambi Mkoani Pwani ,kwa siku tano kuanzia Juni 3-Juni 7 mwaka 2024 ili kutoa huduma za afya kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo ya njia ya uzazi na watoto.
Ai...
Posted on: May 31st, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amesema Serikali ya Mkoa huo haiko tayari kuingilia maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kwenye mambo mbalimbali ikiwemo migogoro ya ardhi.
Kunenge ameyasema hayo...