• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

RC Ndikilo atoa siku 30 kwa mmiliki wa Kiwanda cha kutengeneza Marumaru cha KEDA kutekeleza ahadi aliyoahidi kwa Wananchi wa Pingo-Chalinze

Posted on: August 14th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo ametoa muda wa mwezi mmoja  kwa  mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza marumaru cha  KEDA kilichopo Pingo  Chalinze Mkoa ni hapa kutekeleza ahadi  zote alizoingia na serikali ya kijiji cha Pingo   wakati alipofika katika kijiji hicho kuomba  kuomba apatiwe ardhi kwa ajili ya kujenga kiwanda hicho.

Mhandisi Ndikilo  ametoa agizo hilo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wakazi wa kjiji hicho wakilalamikia uongozi wa kiwanda hicho kushindwa kutekeleza ahadi walizowaahidi kwamba aendapo wangewapatia ardhi wangewasaidia kuwajengea nyumba  ya mwalimu katika kijiji hicho pamoja na kuwasaidia ukamilishaji wa ujenzi wa  kituo cha afya cha kata ya Pera lakini chakushangaza ahadi hizo hazijatakeleza kwa miaka mitatu .

Akizungumza kwa niaba ya wanakijiji hao mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema kuwa  kutotetekelezwa kwa ahadi hizo kunaweza kukaibua chuki baiana ya wakazi wa kijiji hicho na mwekezaji jambo ambalo linaweza kuchafua taswira ya nchi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa waPwani Mhandisi Ndikilo ameonyesha kusikitishwa kwake na mmiliki huyo kushindwa kutekeleza  kwa wakati ahadi alizoingia na wananchi na hivyo kumpa muda wa siku thalathini awe amezitekeleza ahadi hiyo  ya kumalizia  Zahanati pamoja na Nyumba ya mwalimu.

“Nawapa mwezi Mmoja kutoka leo mkamilishe ahadi  yenu mlioingia na serikali ya kijiji  ambayo mliyoahidiana wakati mnakabidhiana ardhi, kwani ni aibu kwa kampuni kubwa kama hii ya KEDA kushindwa kutimiza ahadi  waliyowekeana na sitaki nisikie tena suala hili ambalo niliulizwa mwaka jana na nikatoa maelekezo kwa Twayford na sasa KEDA wayamalizie leo wananchi wangu wanaendelea kufatilia hilo hapana jengeni uaminifu kati ya wawekezaji na wananchi ili muendelee kushirikiana”alisema Mhandisi  Ndikilo

Aidha ametoa rai kwa wawekezaji wote wa Viwanda  kurudisha  faida kidogo kwa jamii  inayoizunguka ili wananchi waweze kufaidika uwekezaji huo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.