Mkoa una jumla ya Shule za Msingi 835 kati ya shule hizo 650 ni za Serikali na 185 zinamilikiwa na Watu binafsi na Mashirika ya Dini. Shule hizo zina jumla ya wanafunzi 441,981 kuanzia darasa la Awali hadi darasa la saba wakiwemo wavulana 220,094 na wasichana 221,887.
Idadi ya wanafunzi (Darasa la Awali – VII) 441,981 (220,094 Me & 221,887 Ke)
Idadi ya Wanafunzi (Kidato I – VI) 166,308 (76,467 Me & 89,841 Ke)
Shule za Sekondari zilizopo ni 287 kati ya hizo shule 190 ni za Serikali na 97 ni za binafsi. Idadi ya wanafunzi kuanzia Kidato cha I – VI ni 166,308 wakiwemo wavulana 76,467 na wasichana ni 89,841.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
Sanduku la Posta: 30080 Kibaha
Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500
Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500
Barua pepe: barua@pwani.go.tz
Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.