• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Elimu

Sekta ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Sekta hii inaongozwa na Afisa Elimu Mkoa kwa kushirikiana na wasaidizi wake ambao ni Maafisa Elimu Taaluma, Afisa Elimu Watu Wazima, Afisa Michezo, na Afisa Utamaduni. Mkoa una jumla ya Shule za Msingi 837 kati ya shule hizo 652 ni za Serikali na 185 zinamilikiwa na Watu binafsi na Mashirika ya Dini. Shule hizo zina jumla ya wanafunzi 441,981 kuanzia darasa la Awali hadi darasa la saba wakiwemo wavulana 220,094 na wasichana 221,887.

  • Idadi ya wanafunzi (Darasa la Awali – VII) 441,981 (220,094 Me & 221,887 Ke)
  • Jedwali namba 1: Taarifa ya idadi ya shule za Msingi za serikali na binafsi katika Mkoa.
  • Shule za Sekondari zilizopo ni 291 kati ya hizo shule 193  ni za Serikali na 98 ni za binafsi. Idadi ya wanafunzi kuanzia Kidato cha I – VI ni 166,308 wakiwemo wavulana 76,467 na wasichana ni 89,841.

    • NA
    •  HAMASHAURI
    • IDADI YA SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI
    • IDADI YA SHULE ZA MSINGI ZA BINAFSI
    • JUMLA
    • 1
    • BAGAMOYO
    • 45
    • 34
    79
    • 2
    • CHALINZE
    • 112
    • 14
    • 126
    • 3
    • KIBAHA DC
    • 41
    • 16
    • 57
    • 4
    • KIBAHA TC
    • 46
    • 60
    106
    • 5
    • KIBITI
    • 89
    • 1
    • 90
    • 6
    • KISARAWE
    • 91
    • 14
    • 105
    • 7
    • MAFIA
    • 36
    • 2
    • 38
    • 8
    • MKURANGA
    • 129
    • 40
    • 169
    • 9
    • RUFIJI
    • 60
    • 4
    • 68
    • JUMLA
    • 652
    • 185
    • 837

    • Jedwali namba 2 : Taarifa ya idadi ya shule za Sekondari za serikali na binafsi  katika Mkoa.
    • Uandikishaji wa Wanafunzi wa ya awali, Darasa la I, MEMKWA na Kidato cha Kwanza 2025

       

      • NA
      •  HAMASHAURI
      • IDADI YA SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI
      • IDADI YA SHULE ZA SEKONDARI ZA BINAFSI
      • JUMLA
      • 1
      • BAGAMOYO
      • 14
      • 23
      • 37
      • 2
      • CHALINZE
      • 28
      • 8
      • 36
      • 3
      • KIBAHA DC
      • 14
      • 9
      • 23
      • 4
      • KIBAHA TC
      • 22
      • 28
      • 50
      • 5
      • KIBITI
      • 20
      • 1
      • 21
      • 6
      • KISARAWE
      • 25
      • 10
      • 35
      • 7
      • MAFIA
      • 9
      • 1
      • 10
      • 8
      • MKURANGA
      • 39
      • 16
      • 55
      • 9
      • RUFIJI
      • 22
      • 2
      • 24
      • JUMLA
      • 193
      • 98
      • 291

      • Uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la Awali mwaka 2025
      • Lengo la Mkoa ni kuandikisha wanafunzi 55,665 wakiwemo wavulana 27,682 na wasichana 27,983. Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2025 jumla ya wanafunzi 44,941 wakiwemo wavulana 22,581 na wasichana 22,360 sawa na asilimia 80.73 wameandikishwa.
      • Uandikishaji wa wanafunzi wa Darasa la I mwaka 2025
      • Lengo la Mkoa ni kuandikisha wanafunzi 51,446 wakiwemo wavulana 25,961 na wasichana 25,485. Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2025 jumla ya wanafunzi 62,182 wakiwemo wavulana 31,220 na wasichana 30,962 sawa na asilimia 120.87 wameandikishwa.
      • Uandikishaji wa wanafunzi wa MEMKWA mwaka 2025
      • Uandikishaji wa wanafunzi wa MEMKWA kupitia Programu ya Elimu ya Watu Wazima nje ya Mfumo Rasmi .Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2025 jumla ya wanafunzi 630 wakiwemo wavulana 377 na wasichana 253 wameandikishwa.
      • Hali ya kuripoti kwa Wanafunzi wa Kidato cha I mwaka 2025
      • Mwaka 2025 Wanafunzi waliofaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi ni 38,274 wakiwemo wavulana 17,909 na wasichana 20,365  ambapo wote wamechaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari. Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2025 Idadi ya Wanafunzi walioripoti kidato cha kwanza kwa shule za serikali ni 35,043 wakiwemo wavulana 14,298 na wasichana 16,522 sawa na asilimia 91.56 ya waliochaguliwa.
    • Mkoa unatekeleza Mpango wa Utoaji wa Huduma ya Chakula Shuleni ili kuhakikisha Shule zote za Msingi na Sekondari zinatoa chakula kwa wanafunzi ambapo uzinduzi wa Mpango wa Utoaji wa Huduma ya Chakula Shuleni umefanyika katika Ngazi ya Mkoa, Halmashauri, Kata na Shule/Kijiji/Mtaa. Jumla ya wanafunzi 316,899 kati ya 441,981 wa shule za Msingi sawa na asilimia 71.70 wanapata chakula wakiwa shule na Wanafunzi 85,903 kati ya 166,308 wa shule za sekondari sawa na asilimia 51.65 wanapata chakula wakiwa shule.  Aina ya chakula wanachopatiwa ni pamoja na ugali, wali, uji, kande, nyama, maharage, mboga za majani, mihogo na viazi.

      Hali ya Lishe na Utoaji wa Chakula Shuleni

      Mkoa katika mwaka 2022/23 umepokea Shilingi 5,857,771,698.47 kwa ajili ya ujenzi viwili vya Ufundi Stadi (VETA) katika Halmashauri ya Mafia Shilingi 3,164,227,684.47 na Shilingi 2,693,544,014.00 katika Halmashauri ya Rufiji. Aidha mwaka 2023/24 Serikali imetoa Shilingi 1,388,970,608.03 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya ufundi (VETA) vinne (4) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti, Mkuranga, Chalinze na Kisarawe.

      Ujenzi wa Vyuo vya Ufundi Stadi (VETA)

      Mkoa umeteua Shule ya Sekondari Kibaha kuwa kiungo cha Shule za Sekondari katika ufundishaji mubashara (Live Teaching) kwa kuwa vifaa vya ufundishaji vimefungwa katika shule hiyo. Ufundishaji wa darasa janja utasaidia kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu hususani katika masomo ya Hisabati na Sayansi, kukatisha masomo kutokana na kufungwa shule kunakosababishwa na mlipuko wa magonjwa na majanga mengine. Aidha, Mkoa umepokea kiasi cha shilingi 1,510,884,242.85 kwa ajili ya utekelezaji wa afua za program ya Shule Bora hususani mafunzo kwa walimu.

      Matumizi ya Tehama katika Ufundishaji na Ujifunzaji

      Katika mwaka wa fedha 2024/2025 Serikali imegharamia Elimu msingi bila malipo katika maeneo ya ruzuku ya Uendeshaji wa shule (Capitation), chakula, fidia ya ada ya wanafunzi na posho ya madaraka kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na Maafisa elimu Kata. Katika mwaka wa fedha 2024/2025 hadi kufikia mwezi Juni, 2025 jumla ya shilingi 17,557,395,959.00 zimepokelewa.

      Elimu Msingi Bila Malipo

      Mwaka 2024/2025 Mkoa umepokea Shilingi 23,230,366,360.70 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya shule za msingi na sekondari. Katika kiasi hicho shilingi 1,944,800,000 zimopokelewa kupitia mradi wa GPE TSP, shilingi 4,392,393.696 zimepokelewa kupitia mradi wa SEQUIP, shilingi 2,183,600,000 zimepokelewa kupitia programu ya EP4R, shilingi 3,626,579,977 zimepokelewa kutoka Serikali kuu, shilingi 14,853,708,241.00 zimepokelewa  mradi wa BOOST, shilingi 280,000,000 zimepokelewa programu ya IPOSA,shilingi 289,685,749 zimepokelewa kutoka programu ya SRWSSP na shilingi 47,600,000 zimepokelewa programu ya LANES II.

      Kupitia miradi mbalimbali Mkoa umekuwa ukipokea fedha kwa awamu kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo, maabara, maktaba, bwalo, mabweni, majengo ya utawala pamoja na ukarabati.

      Uboreshaji wa Miundombinu ya shule za Msingi na Sekondari

      Hata hivyo, Juhudi zaidi zinaendelea kufanyika ili kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya wanafunzi wanaopata daraja sifuri na kuongeza idadi ya wanafunzi wanaopata daraja la kwanza hadi la tatu katika Mtihani wa Kidato cha Nne na Upimaji wa Kidato cha Pili.

      Kidato cha sita ufaulu ni asilimia 99.85 kwa mwaka 2024 na kwa mwaka 2025 ufaulu ni asilimia 99.59 ambapo hakuna mwanafunzi aliyepata Divisheni 0.

      Kidato cha nne kutoka asilimia 83.84 mwaka 2022 hadi asilimia 90.17 mwaka 2024 na

      Kidato cha Pili Kutoka asilimia 79.93 mwaka 2022 hadi asilimia 83.14 ya mwaka 2024;

      Darasa la Nne kutoka asilimia 88.14 ya mwaka 2022 hadi kufikia 89.06 ya mwaka 2024;

      Kiwango cha Ufaulu wa Mitihani ya Darasa la Saba umeongezeka kutoka asilimia 83.16 mwaka 2022 hadi asilimia 83.64 mwaka 2024;

       

      Mkoa umepata mafanikio makubwa sana katika ufaulu kama ifuatavyo;-

      Hali ya ufaulu wa Mitihani ya Kitaifa

      Mkoa una jumla ya Walimu 7,043 wa Shule za Msingi sawa na asilimia 70.91 ya mahitaji ya walimu 9,932 na Walimu 5,020 wa Shule za Sekondari sawa na asilimia 86.59 ya mahitaji ya walimu 5,797.  Aidha, Serikali inaendelea kuajiri walimu ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu. Mwaka 2021/22, 2022/23 na 2024/25 Mkoa umepokea walimu wa ajira mpya 1,187 ikiwa 446 wa shule za Msingi na 741 wa shule za Sekondari. 

      Hali ya walimu

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Watendaji wa Vijiji na Mitaa Wapewa Mafunzo ya Mfumo wa iMES kwa Ajili ya Kukusanya Takwimu za Kijinsia Mkoani Pwani.

    October 03, 2025
  • RC Kunenge: Aagiza Mradi wa IPOSA ulete Matokeo yanayoonekana.

    October 02, 2025
  • Mkoa wa Pwani Waendelea Kung’ara katika Utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF).

    September 30, 2025
  • Rais Samia Aipongeza Pwani Kwa Kuibeba Vyema Ajenda ya Kitaifa ya Uwekezaji Katika Viwanda.

    September 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.