Posted on: January 16th, 2026
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Shangwe Twamala, amewataka Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Chalinze kuimarisha usimamizi wa rasilimali za umma, ikiwemo mapato na fedha...
Posted on: January 15th, 2026
Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Nickson Simon, amefungua mafunzo elekezi kwa madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Chalinze yaliyofanyika leo Januari 15, 2026, katika Ukumbi wa Mikutano uliopo...
Posted on: January 15th, 2026
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, amefungua mafunzo ya siku mbili kwa vikosi kazi vya utekelezaji wa Mfumo wa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O&OD) ulioboreshwa. Mafunzo hayo yanawahusi...