• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Serikali haitamvumilia mtu atakayekwamisha Ujenzi wa Viwanda

Posted on: October 18th, 2019

Makamu wa Rais mama Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitamvumilia mtu atakayekwamisha ujenzi wa viwanda pamoja na kuingiza bidhaa feki hapa nchini.

Akizindua maonyesho ya bidhaa za Viwanda zinazozalishwa Mkoani Pwani Naibu Waziri Wizara ya Viwanda , Biashara Uwekezaji Mhe.Stella Manyanya kwa niaba ya Makamu wa Rais alisema kuwa, hakuna sababu ya kuweka vizuizi ambavyo vina namna ya kuvikabili katika kipindi hiki cha uchumi wa Viwanda.

Alisema pia, kitendo cha kuingiza bidhaa feki ni moja ya sababu zinazochangia kupoteza mapato ya nchi lakini pia kukosesha bidhaa bora zinazozalishwa hapa nchini.

Aidha kwa upande wake Naibu Waziri Manyanya alisema," Taasisi zinazohusika na udhibiti wa bidhaa hawana nafasi ya kusingizia sheria na kuleta usumbufu kwa wawekezaji".

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo aliwapongeza wamiliki wa viwanda ambao wamekubali kushiriki katika maonyesho hayo kutangaza bidhaa zao.

Mhandisi Ndikilo alisema, maonyesho hayo ni moja ya jukwaa la kutangaza biashara zinazozalishwa katika Mkoa wa Pwani na kupata masoko.

Aidha  alisema kuwa,maonyesho ambayo yalifanyika kwa Mara ya kwanza mwaka 2018 yamekuwa na mafanikio makubwa kwani tayari watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Mkoa wa Pwani wamekuwa wanunuzi wakubwa wa bidhaa zinazizalishwa Pwani.

“Katika uongozi wa awamu ya tano unaosisitiza uwekezajj kwenye viwanda viwanda 300 vimejengwa na kuwezesha ajira 20,000 za moja kwa moja na 40,000 zisizo rasmi,”alisema Ndikilo.

Pia aliendelea kusema kuwa ,” mbali ya mafanikio ya ujenzi wa viwanda katika Mkoa huo, pia wanakabiliana na changamoto mbalimbali kutoka kwa baadhi ya wawekezaji kutumia vifaa duni sehemu za kazi”.

Changamoto nyingine ni, baadhi ya wamiliki wa viwanda kutofuata taratibu za kazi, kwa kutokuwa na mikataba kwa wafanyakazi wao, na malipo duni kwa wafanyakazi.

Mhandisi Ndikilo alisema,” kuna chagamoto kutoka kwa Taasisi wezeshi, na wamiliki wa viwanda ikiwemo kutoa adhabu kwa wamiliki, bila kutoa elimu na sababu za adhabu”.

Mkurugenzi wa TanTrade Edwin Rutageruka alitoa wito kwa wamiliki wa Viwanda kwenda kwenye masoko ya nje ya nchi ambako bidhaa za ndani zinauzika huko.

Alisema, wenye viwanda, wanatakiwa kushiriki kwenye masoko yaliyo nje ya Tanzania huku wakiwa na bidhaa zao bora ambazo zitafungua masoko zaidi.

Maonyesho hayo yanafanyika kwa Mara ya pili mfululizo yakifadhiliwa Makampuni mbalimbali ikiwemo benki ya CRDB, Kampuni ya TANGA SEMENT, Benki ya NMB,TIC,Lake Oil, TanTrade, TIB na wengine.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.