• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Serikali yatoa ekari 1000 kwa Wakazi wa kisabi

Posted on: March 12th, 2024

Serikali Mkoani Pwani imetoa eneo lenye ukubwa wa ekari 1000 ili lipimwe viwanja na kugawiwa kwa wakazi wanaoishi kwenye eneo oevu kwenye kitongoji cha Kisabi Mlandizi Wilaya ya Kibaha.

Hayo yamebainishwa leo Machi 12, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Simon aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge kwenye mkutano wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Mkuu huyo wa wilaya amefafanua kuwa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira - NEMC lilihadharisha juu ya eneo hilo kutumika kujengwa makazi ya binadamu kwa kuwa ni owevu linaloweza kusababisha madhara yatokanayo na mafuriko kikiwa ni pamoja na uwezekano wa nyumba kutitia.

Kutokana na hali hiyo, ofisi yake iliamua kutafuta eneo rafiki linalofaa kwa makazi ya binadamu ambalo ameeleza kuwa limepatikana katika Kijiji cha Kikongo na sasa maandalizi ya upimaji unaendelea ili wakazi hao wapewe viwanja.

Kwa upande wao, wakazi hao wa Kisabi wameiomba Serikali kuwaacha waendelee kuishi katika eneo hilo ambapo Mkuu wa Wilaya ameahidi kuyafikisha maombi hayo sehemu husika kwa lengo la kutoa maamuzi zaidi ingawa amesisitiza kuwa kutokana na ushauri wa kitaalamu kimazingira, eneo hilo si rafiki kwa makazi hivyo wananchi wanapaswa kuhama.

Katika hatua nyingine, awali, kwenye mkutano uliofanyika Picha ya Ndege Kibaha Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Simon ameahidi kushughulikia kero ya maji machafu yanayotiririka kutoka kwenye kiwanda cha Keds kilichopo Picha ya Ndege Halmashauri ya mji wa Kibaha.

Kero hiyoa imebainishwa na wakazi wa eneo hilo waliohudhuria kwenye mkutano ulioandaliwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Akizungumza katika mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Simon amesema Serikali itashughulikia kero hiyo sambamba na kukutana na uongozi wa Kiwanda.

Katika mkutano huo pia Wananchi walieleza kero ya maji kwenye Mtaa wa Lulanzi ambapo Meneja wa Mamlaka ya maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salam (DAWASA) Kibaha Alfa Ambokile ameeleza kwamba utekelezaji wa utatuzi wake utaanza hivi karibuni.

Ambokile amesema upo mradi wa maji Pangani unatarajia kuanza utekelezaji wake hivi karibuni mradi ambao utafikisha maji katika eneo hilo la Lulanzi na ilipo Hospitali ya Wilaya.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • dora77
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77