• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Afisa Elumu Mkoa Pwani aelekeza watoto kulindwa

Posted on: February 27th, 2023

Afisa elimu Mkoa wa Pwani Sara Mlaki amewataka Maafisa wanaosimamia elimu mkoani humo kuhakikisha wanalinda usalama wa Wanafunzi wawapo shuleni.

Mlaki aliyasema hayo jana Februari 24, 2023 katika kikao kazi cha siku mbili katika shule ya Sekondari Bagamoyo kilichowakutanisha Maafisa toka Idara ya Elimu Msingi, wathibiti ubora elimu, maafisa mipango na maafisa maendeleo ya jamii kutoka halmashauri zote za Mkoa wa Pwani kufanya tathmini ya Utekelezaji wa mpango wa lipa kulingana na matokeo - EP4R wa 2022/2023 na kuandaa mpango wa 2023/2024 katika halmashauri hizo kama sehemu ya matokeo ya Mradi wa Shule Bora kwa ushirikiano na TAMISEMI na Wizara ya Elimu unaofadhiliwa na Serikali ya Uingereza kupitia shirika la misaada la UKAID ukitekelezwa katika mikoa tisa ya Tanzania.

Katika sehemu ya hotuba yake, Mlaki alisisitiza kuwa shule iwe ni sehemu salama kwa mwanafunzi kwani kwa sasa kumekuwa na mmomonyoko wa maadili na ukatili katika jamii na waathirika wakiwa ni watoto.

"Hakikisheni kuwa kwa kushirikiana na jamii, mnalinda usalama wa Wanafunzi wawapo shuleni na nje ya mazingira ya shule, wawe salama kwani Kwa sasa kumekuwa na mmomonyoko wa maadili kwa baadhi ya watu unaosababisha ukatili kwa watoto katika jamii.

Kwa upande wake Mratibu wa lipa kulingana na Matokea (EP4R) Kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Mary Machaku amesema ameona mikakati mizuri inayolenga kuboresha elimu kwa utekelezaji wa mpango huo kutoka kwa washiriki na akawasihi kwenda kuitekeleza ikiwa ni pamoja na utoaji wa chakula shuleni,

kuondoa Changamoto ya KKK (Kusoma, Kuhesabu na Kuandika) na akaongeza kuwa Kwa iwapo washiriki hao watasimami na kutekeleza viashiria walivyoainisha, watafanikiwa kuondoa changamoto zinazoonekana kwenye sekta ya Elimu nchini.

Nao maafisa kutoka halmashauri za Mkoa huo walioshiriki kwenye kikao kazi hicho walieleza kuwa utekelezaji wa mpango wa EP4R umekuwa wa manufaa kwa kuwa umewezesha ongezeko la Ujenzi wa vyumba vya madarasa, matundu ya vyoo, kisima cha Maji Kibaha ununuzi wa vifaa vya TEHAMA Kwa baadhi ya halmashauri na matumizi ya vitabu huku Mafia wakivuka lengo la uandikishaji wa Watoto wa Awali na Msingi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.