Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Bank ya Stanbic yakabidhi Vyumba Kumi vya madarasa kwa taasisi ya Watoto wetu Tanzania -Msata Chalinze

Posted on: May 13th, 2022

Taasisi ya kifedha ya Bank ya Stanbic ,imekabidhi vyumba vya madarasa Kumi na kuahidi kutoa madawati 100 kwa taasisi ya Watoto Wetu Tanzania, inayojihusisha na kutoa elimu kwa watoto wenye Mazingira magumu na hatarishi huko Mazizi ,Msata Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani.

Mkurugenzi Mkuu wa Stanbic bank Kelvin Winfild ,alisema , Taasisi hiyo ya kifedha moja ya majukumu yake ni kushirikiana na jamii kutoa sehemu ya pato lake ambapo Hadi Sasa imeshatoa kiasi cha sh.Bilioni moja kusaidia katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu na afya.

Alieleza kwa upande wa watoto katika Taasisi hiyo ipo nao pamoja , kwa miaka 20 na kuanzia 2018 walianza ujenzi wa madarasa mawili baada ya majengo ya Taasisi hiyo kubolewa Kimara ili kupisha upanuzi wa barabara.

Winfild alisema ,kwasasa wanakabidhi madarasa kumi kati ya Madarasa hayo, mawili yapo kwenye ukamilishaji.

"Upungufu wa madawati ,sisi Stanbic tulizindua kampeni ya kutoa madawati 1,000 kila mwaka nchini, na Katika kuunga mkono Taasisi hii ya Watoto wetu Tanzania tutawapa madawati 100".

Kwa upande wake , Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Watoto Wetu Tanzania, Evance Tegete alisema lengo la asasi hiyo Ni kuokoa, kuwalinda na kuwaendeleza watoto wenye Mazingira magumu, waliokuwa wakifanyishwa kazi katika madanguro,kazi za ndani , mashambani,walio lazimishwa kuolewa,na watoto waliotelekezwa.

Tegete alisema, toka kituo kianze kimesaidia watoto 368 kati Yao 38 wamemaliza degree ,akiwemo binti ambae alikuwa akifanyishwa kazi na Sasa anategemea kumaliza degree yake ya tatu ya sheria .

Mgeni rasmi katika makabidhiano hayo, Rais Mstaafu Awamu ya nne, dkt.Jakaya Kikwete alimuelekeza mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge kukaa na walimu wakuu wa Sekondari ili kujitafakari taaluma ya mkoa na kuangalia sababu zinazosababisha kutofanya vizuri zaidi kwenye Sekondari na shule za msingi .

Alisema elimu Ni ufunguo wa Maisha ,jamii inatakiwa kuthamini elimu ya watoto wetu kwa manufaa Yao ya baadae.

Hata hivyo, Jakaya aliwapongeza Stanbic kwa msaada wa kutoa Jumla ya madarasa 10 ambapo nane yamekamilika na mawili yakiendelea kukamilishwa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Tangazeni Miradi ya Serikali : Msigwa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwni afunga rasmi Mashindano ya UMITASHUNTA Nganzi ya Mkoa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Apokea Majiko ya Gas 200 kwa ajili ya Watumishi Wapya

    May 23, 2025
  • Waziri Mchengerwa awataka Maafisa Habari wa TAMISEMI Kuongeza Uwajibikaji

    May 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.