• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kunenge awataka wananchi wa Mbwawa kutafuta eneo kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya.

Posted on: July 28th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge ameagiza kuanza Ujenzi wa Wodi ya Wazazi katika Zahanati ya Kata ya Mbwawa.

"Wananchi wana kero ya ukosefu wa wodi ya Wazazi kwenye Zahanati hii wanatembea umbali mrefu kilometa 13 kwenda kituo cha Afya kujifungua. Naelekeza Ujenzi wa wodi ya Wazazi uanze mara moja.

"Kituo cha Afya kitachukua Muda kujengwa Zahanati hii ifanyiwe maboresho kwa kujengwa wodi ya wazazi" Ameeleza Kunenge.

Kunenge ameyasema hayo leo Julai 27 2022 alipofanya ziara Halmashauri ya Mji wa Kibaha katika Kata ya Mbwawa kusikiliza na kutatua Kero za Wananchi.

Kunenge ameagiza kutumika kwa Shilingi Milioni tisa 9 zilizotokana na Mauzo ya Trekta ya Mtaa huo katika kuanza Ujenzi wa Wodi hiyo ya Wazazi.

Kunenge amewaelekeza Wananchi kwa kushirikina na Serikali ya Wilaya kutafuta Eneo kubwa la Ujenzi wa Kituo cha Afya.

"Tutafute Eneo muafaka eneo ambalo Wananchi watafika kwa urahisi kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya ambacho tayari Serikali imetutengea Takribani Bilioni 2 kwa ajili ya Ujenzi na vifaa tiba" Ameeleza Kunenge.

Akijibu kero nyingine ya Wananchi kusumbuliwa na Kikundi wahalifu kinachojiita Panya teleza katika Barabara ya Visiga madafu Mbwawa Kunenge amesema Panya teleza Waache Mara moja,

"Wasicheze na Serikali kazi ya Serikali ni kulinda uhuru wa Wananchi wake". Amemwagiza kamanda wa Polisi Mkoa kuhakisha wanakomesha Kikundi hicho

"Nisisikie panya teleza shughulikeni nao msionee mtu lakini hakuna mwenye haki ya kuhatarisha usalama wa Mtu mwingine" Ameeleza Kunenge.

amewataka Wazazi kuongea na vijana wao ili wawe na maadili mema.

Kuhusu kero ya ukosefu Ajira na miradi kwenye Kata amemwelekeza Mkurugenzi wa mji kugawa mikopo ya Asilimia 10 Makundi Maalumu ya Wananchi wa kata hiyo. Aidha amewataka vijana kujituma na kufanya kazi kwa bidii wanapopata fursa hizo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RAS Pwani asisitiza Ushirikiano Walimu, Wazazi shuleni

    March 06, 2023
  • RC Kunenge atahadharisha Kongani SINOTAN Kutokwamishwa

    March 06, 2023
  • RC Kunenenge aelekeza TEMESA kuwasilisha Mpango matengenezo kivuko Mafia

    March 03, 2023
  • Rais Dkt Samia atengua umiliki Shamba namba 934 Mapinga Bagamoyo

    February 27, 2023
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.