• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Coast City Marathon yakusanya Zaid ya Milion Kumi kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto hospital ya rufaa Tumbi

Posted on: November 11th, 2023

Coast City Marathon (2023) awamu ya pili kwa kushirikiana na hospital ya Rufaa ya mkoa Tumbi,imekusanya zaidi ya milioni kumi kati milioni 240 zinazohitajika kwa ajili ya ujenzi wa jengo la mama na mtoto hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Pwani, Tumbi.

Mratibu wa mbio hizo, Dk. Frank Muhamba akizungumza leo Novemba 11,2023 kwenye ufunguzi alieleza, mbio hizo ni sehemu ya uhamasishaji wa zoezi la uchangiaji fedha ili kufanikisha ujenzi wa jengo.

Mganga Mkuu wa hospitali ya Rufaa ya Tumbi, Dk. Amani Malima aliwaomba ,wadau mbalimbali zikiwemo Taasisi binafsi na Serikali kujitokeza kufanikisha zoezi hilo.

"Kukamilika kwa jengo hili kutasaidia kupunguza vifo vya uzazi na watoto , pia hospital hii kwasasa Serikali imeboresha huduma za afya tunatoa huduma ya kusafisha figo ,CTScan na kutoa ujuzi kwa wataalamu wa afya ambapo kwa siku tunahudumia wagonjwa wa kawaida 500 na wodi ya uzazi 200 katika hospital yetu, idadi ambayo ni kubwa" alifafanua Malima.

Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa afya, Ummy Mwalimu, Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge,alisema katika kuunga mkono juhudi za ujenzi wa wodi ya mama na mtoto ofisi ya mkoa huo imetoa sh milioni tano.

Alifafanua kuwa, hospitali ya Rufaa ya Tumbi ilipewa hadhi ya kuwa rufaa mwaka 2011 na inahudumia wagonjwa kutoka wilaya sita za mkoa huo na mikoa jirani, Dar es Salaam, Tanga na Morogoro.

“Kwa sasa hospitali ya Tumbi inapokea wagonjwa 500 kwa siku na 2,081 kwa mwezi ,ni hospital kubwa katika mkoa ya Serikali ,inaendelea kushirikisha na wadau mbalimbali ili kuchangia ujenzi wa miundombinu na vifaa tiba,”anaeleza Kunenge.

Hospital ya rufaa ya mkoa ya Tumbi, inapokea akinamama katika wodi ya uzazi wapatao 24,000 kwa mwaka ,na 200 kwa mwezi ,ikiwa na pamoja na vitanda vitatu vya kujifungulia na vitanda 24 vya kulaza katika wodi hiyo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88