• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

CWT yaguswa na Mafuriko ya Rufiji na Kibiti

Posted on: May 6th, 2020

Chama Cha Walimu Tanzania(CWT) kimetoa msaada wa fedha taslimu Shilingi milioni tatu 3,000,000/= kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya walimu iliyoathiriwa na mafuriko kwenye Wilaya za Kibiti na Rufiji Mkoani Pwani.

Akikabidhi msaada huo mwanzoni mwa wiki hii ambao utatumika kununua mifuko ya saruji 200 Mtunza Hazina wa CWT Abubakary Alawi alisema, wameamua kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuweka Mazingira mazuri ya kufundishia kwa walimu.

Alawi alisema, pamoja na kuwa CWT ni chama cha kutetea maslahi ya walimu, lakini kwasasa wameamua kuungana katika kusaidia kurejesha miundombinu ya walimu ambayo imeharibiwa na mafuriko.

" Tumeguswa na hali ya taharuki iliyowapata walimu wenzetu wa Rufiji na Kibiti tumekuja kutoa mchango wetu kwako"alisema Alawi.

Akipokea msaada huo Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo alishukuru kwa msaada huo na kuomba makampuni mengine ambayo yamewekeza katika Mkoa huo kuiga mfano wa CWT.

"CWT ni Taasisi inayojitambua inayoshughulika na matatizo ya wananchi na katika hili niwapongeze kwa kuunga mkono juhudi za Serikali"

"Serikali haiwezi kujenga Miundombinu yote kwa wakati mmoja nichukue fursa hii kuwaomba wadau wengine na wamiliki wa Viwanda Pwani kuiga mfano wa CWT wa kusaidia changamoto zilizopo Kibiti na Rufiji" alisema Ndikilo

Mhandisi Ndikilo alibainisha kuwa chanzo cha mafuriko katika Wilaya hizo ni mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zimesababisha mabwawa ya Mtera na Kidatu kufunguliwa na hivyo maji kufurika kwenye mashamba na makazi ya watu.

Mwisho, Aliwahimiza Waalimu wa Mkoa Pwani kuendelea kutoa elimu ya tahadhari ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona kwenye maeneo wanapoishi kipindi hiki ambapo Serikali imefunga Shule. "Msichoke kuwaelimisha Wananchi alisema Ndikilo.



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.