• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

DC NIckson Ahimiza Upendo kwa Watendaji wa Mahakama

Posted on: February 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya ya Kibaha, Mhe. Nikson Simon, amesisitiza umuhimu wa upendo katika utekelezaji wa majukumu ya watumishi wa Mahakama Mkoa wa Pwani ili kuhakikisha haki inatendeka wakati wa kushughulikia kesi za wananchi.

Nickson alitoa kauli hiyo Februari 3, 2025  wakato wa madhimisho ya kilele cha siku ya sharia  nchini ambapo alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe . Abubakar kunenge . Maadhimisho hayo ambayo yalifanyika katika Viwanja vya Mahakama ya Hakim Mkazi Kibaha yaliyobeba kauli mbiu "Nafasi ya Taasisi zinazosimamia Haki na Madai Katika Kufikia Malengo Makuu ya Dira ya Maendeleo."

Akihimiza maadili mema kwa watendaji wa mahakama , Nickson alisema “Kupenda kunafanya kuwa tayari kusimamia sheria na kupinga uovu. Tuwe na upendo kwa watu tunawahudumia, na mtu mwenye upendo hawezi kupora haki, hivyo nasisitiza kuwa na upendo ili tuweze kutenda haki”.

Aidha, aliwataka wadau mbalimbali na wananchi kutii sheria, akisema, "Sheria ni sisi na sisi wote ni sawa mbele ya sheria. Tukiboresha sheria, tumejiboresha sisi, na tukiharibu, tumejiharibu sisi."

Kwa upande wake, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha, Mhe. Joyce Mkhoi, aliwataka wadau mbalimbali kutoa maoni katika rasimu ya Dira Mpya ya Maendeleo ya Taifa ya 2050, kwani ndiyo msingi wa kukuza maendeleo na uchumi wa nchi.

Alisema pia kuwa Siku ya Sheria Nchini, inayoadhimishwa kila mwaka, ilitanguliwa na Wiki ya Sheria, ambayo ilikuwa ni wiki ya utoaji elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya Mahakama na Sheria kwa ujumla. Wiki hiyo ilianza tarehe 25 Januari na kumalizika tarehe 01 Februari mwaka huu, ikiwa imefanyika katika maeneo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali, shule za msingi, sekondari, maeneo ya wazi, na ofisi za serikali za mitaa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.