• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

DC NIckson Ahimiza Upendo kwa Watendaji wa Mahakama

Posted on: February 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya ya Kibaha, Mhe. Nikson Simon, amesisitiza umuhimu wa upendo katika utekelezaji wa majukumu ya watumishi wa Mahakama Mkoa wa Pwani ili kuhakikisha haki inatendeka wakati wa kushughulikia kesi za wananchi.

Nickson alitoa kauli hiyo Februari 3, 2025  wakato wa madhimisho ya kilele cha siku ya sharia  nchini ambapo alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani mhe . Abubakar kunenge . Maadhimisho hayo ambayo yalifanyika katika Viwanja vya Mahakama ya Hakim Mkazi Kibaha yaliyobeba kauli mbiu "Nafasi ya Taasisi zinazosimamia Haki na Madai Katika Kufikia Malengo Makuu ya Dira ya Maendeleo."

Akihimiza maadili mema kwa watendaji wa mahakama , Nickson alisema “Kupenda kunafanya kuwa tayari kusimamia sheria na kupinga uovu. Tuwe na upendo kwa watu tunawahudumia, na mtu mwenye upendo hawezi kupora haki, hivyo nasisitiza kuwa na upendo ili tuweze kutenda haki”.

Aidha, aliwataka wadau mbalimbali na wananchi kutii sheria, akisema, "Sheria ni sisi na sisi wote ni sawa mbele ya sheria. Tukiboresha sheria, tumejiboresha sisi, na tukiharibu, tumejiharibu sisi."

Kwa upande wake, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha, Mhe. Joyce Mkhoi, aliwataka wadau mbalimbali kutoa maoni katika rasimu ya Dira Mpya ya Maendeleo ya Taifa ya 2050, kwani ndiyo msingi wa kukuza maendeleo na uchumi wa nchi.

Alisema pia kuwa Siku ya Sheria Nchini, inayoadhimishwa kila mwaka, ilitanguliwa na Wiki ya Sheria, ambayo ilikuwa ni wiki ya utoaji elimu kwa wananchi kuhusu masuala ya Mahakama na Sheria kwa ujumla. Wiki hiyo ilianza tarehe 25 Januari na kumalizika tarehe 01 Februari mwaka huu, ikiwa imefanyika katika maeneo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ofisi za serikali, shule za msingi, sekondari, maeneo ya wazi, na ofisi za serikali za mitaa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • toto slot
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77