• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Dkt Mgaere awataka watumishi Pwani kuwatumikia wananchi

Posted on: August 25th, 2020

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Dr Delphine Magere amewataka watumishi kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake wajenge tabia ya kuwafikia wananchi na kusikiliza kero zao na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka.

Dr Magere alitoa wito huo Agosti 24,alipokuwa wilayani Mafia na kuzungumza na wakazi wa kata ya Kirongwe wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo aliyoifanya kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi katika Halmashauri za Mkoa huo.

Katibu Tawala huyo alisema kuwa , huu sio wakati wa kukaa na matatizo ya wananchi na kila mmoja anatakiwa kuwajibika ipasavyo kutekeleza wajibu wake bila kusubiri msukumo kutoka ngazi za juu.

"Zama zimebadilika tuache kukaa ofisini tutoke tukawasikilize wananchi tunaowatumikia wakati mwingine wanaotukwamisha ni watumishi kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa wakati" alisema

Alisema endapo kila mmoja atasimamia majukumu yake ipasavyo itapunguza uwepo wa kero za wananchi ambazo hazitafutiwi ufumbuzi kwa wakati na kuwafanya wananchi kufanya shughuli za maendeleo na kujikwamua na hali ya umasikini kwenye maeneo yao.

"Tusikae na matatizo ya wananchi tujenge tabia ya kuwasikiliza tutatue kero zao watumishi tutumike, kuanzia ngazi za chini tukifanya hivyo hata viongozi wa juu hawapati shida wanapotembelea maeneo hayo" alisisitiza.

Akiwa Mafia Mkuu huyo wa Mkoa aliahidi Serikali ya Mkoa kwa kushirikiana na Wilaya kusimamia miradi ya maendeleo ambayo haijakamilika kutekelezwa kwa wakati na kuwasaidia wananchi wa maeneo husika.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • toto slot
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • axl777
  • slot gacor
  • axl777
  • slot777
  • yamitoto
  • yamitoto
  • axl777
  • AXL777
  • yamitoto
  • DORA77