• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Geraruma asisitiza Kliniki ,Lishe Bora kwa Wajawazito

Posted on: May 4th, 2022

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahii Geraruma amesisitiza wajawazito kuanza kliniki mapema na kula lishe bora kwa afya ya mama na mtoto na kuwasihi wanyonyeshe watoto ili wawe na virutubisho kutoka kwa mama.

Geraruma alitoa msisitizo huo wakati akizungumza mara baada ya kuzindua mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Msorwa kilichojengwa kwa fedha za tozo ya miamala kwa gharama ya shilingi milioni 250.

Kuhusu ujenzi, Geraruma alizitaka Halmashauri kuzingatia maelekezo ya ujenzi wa miradi ambayo hutolewa na Serikali kulingana na mradi husika na kuhifadhi nyaraka za matumizi ya fedha kwa ajili ya ukaguzi.

Amesema kutokuwa na taarifa za fedha kunatia Shaka na kuonyesha Kuwa kuna Mazingira ya upigaji.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Hadija Nasir ameshukuru wananchi na wadau kwa kushirikiana na Serikali kuinua maendeleo ya wilaya hiyo.

Amesema katika miradi iliyopitiwa na Mwenge, ipo ya fedha za Serikali, kodi ya wananchi ikiwa ni pamoja na Fedha za Tozo na UVIKO 19 zilizofanikisha ujenzi wa miradi mbalimbali ambayo ina tija kwa jamii.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa katika wilaya ya Mkuranga ukitokea Kibiti ambapo ukiwa wilayani humo umekagua miradi 14 yenye thamani ya Sh. Bilioni 12.8.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge Wilayani Mkuranga ni pamoja na wa ujenzi wa kituo kidogo cha polisi Kijiji cha Mwarusembe, kukagua jitihada za mradi wa mapambano dhidi ya malaria na VVU/UKIMWI, kituo cha afya Kilimahewa na kuweka jiwe la msingi mradi wa maji Mkuranga na tank kubwa la maji Mkwalia wenye thamani ya Bilioni 5.500.

Miradi mingine iliyopitiwa ni kukagua kazi za vijana useremala Mkuranga Mjini, barabara ya lami mita 400 Vikindu-Sangatini, mradi wa madarasa ya Uviko19 Mwandege Sekondari na kuweka jiwe la msingi shule shikizi Mpera.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC Komba awahimiza Wananchi na Watumishi wa Mkoa wa Pwani Kutekeleza kwa Vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    May 26, 2025
  • Tangazeni Miradi ya Serikali : Msigwa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwni afunga rasmi Mashindano ya UMITASHUNTA Nganzi ya Mkoa

    May 24, 2025
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Apokea Majiko ya Gas 200 kwa ajili ya Watumishi Wapya

    May 23, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.