• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Hospitali ya Wilaya ya Mafia yapata Mashine mpya ya Mionzi

Posted on: August 13th, 2018

Tatizo la ukosefu wa mashine ya mionzi katika hospitali ya wilaya ya Mafia mkoani Pwani limepatiwa ufumbuzi wa kudumu baada ya serikali kununua  mashine mpya yenye thamani ya milioni miamoja na hamsini kwa ajili ya matumizi ya hospitali hiyo.
Mganga Mkuu wa wilaya ya Mafia daktari Zuberi Mzige amesema ununuzi wa mashine hiyo umesaidia kuondoa tatizo walilokuwa wanalipata wakazi wa wilaya ya Mafia kutumia gharama kubwa ya usafiri wa ndege kusafirisha wagonjwa kwenda jijini Dar es salaam kwa ajili kupatiwa vipimo vya mionzi.

Hayo yamebainika wakati wa  Ziara ya kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi mkoa wa Pwani walipotembelea  Wilayani ya  Mafia kwa lengo la  kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama hicho katika kipindi cha miaka miwili na nusu ya serikali ya awamu ya tano.
Katika ziara hiyo kamati hiyo ilitembelea  hospitali ya wilaya ya Mafia na  kukagua mashine mpya ya mionzi iliyonunuliwa na Serikali kwa lengo la  kuwaondolea adha wakazi wa wilaya hiyo kutumia gharama kubwa kusafirisha wagonjwa kwa njia ya ndege kwenda jijini Dar es salaam kwa ajili ya vipimo vya mionzi.
Akizungumza na kamati hiyo mganga Mkuu wa wilaya ya Mafia daktari Zuberi Mzige amesema ununuzi wa mashine hiyo imekuwa ukombozi kwa wakazi wa visiwa vya Mafia .
Daktari  Zuberi alisema kuwa fedha za ununuzi wa mashine hiyo yenye thamani ya milioni miamoja na hamsini imetolewa na serikali pamoja na ofisi ya mbunge ambapo kati ya fedha  hizo milioni hamsini zimetolewa na halmashauri ya wilaya ya Mafia na shilingi milioni miamoja zimetolewa na mbunge wa jimbo la Mafia Mhe.  Ramadhani Dau. Doktari  Zuberi amesema hayo wakati ziara ya kikazi ya Siku tatu ya kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi mkoa wa Pwani ilipotembelea hospitali utekelezaji wa ilani ya CCM katika kipindi cha miaka miwili na nusu ya serikali ya awamu ya tano.

Akizungumza baada ya kukagua hospitali hiyo mwenyekiti Wa CCM mkoa wa Pwani Mhe. Ramadhani Maneno amesema wameridhishwa na jinsi mkoa huo ulivyotekeleza kwa mafanikio makubwa ilani ya CCM kwa kuboresha upatikanaji Wa huduma za afya  pamoja na kuimarisha miundombinu ya vituo vya afya, ,barabara,,maji na ujenzi wa viwanda.
Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evaristi Ndikilo amesema katika kipindi cha miaka miaka miwili na nusu cha serikali ya awamu ya tano, mkoa  wa Pwani umefanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ambapo katika kipindi hicho zaidi ya vituo saba vya afya  vimepatiwa shilingi milioni 450 kwa  kila kituo kwa ajili ya upanuzi na ukarabati.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Pwani yaenedelea Kuzalisha Ajira Kuumuunga Mkono Mhe Rais Kupitia Uwekezaji wa Viwanda

    January 05, 2026
  • Hakikisheni Mradi wa bwawa la maji Kidunda Hausimami _ Dkt Mwigulu

    January 02, 2026
  • Zaid ya Ajira 4,000 Kuzalishwa Bagamoyo kufuatia Makampuni Sita Kusini Mikataba Bemc Sez.

    December 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98