• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kabeho aipongeza Pwani kwa kusheheni Viwanda

Posted on: July 24th, 2018

Kiongozi  wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu ,Charles Kabeho amemuagiza mtendaji mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na watendaji wake kwenda kufanya ukaguzi katika kiwanda cha Kuchi Jogoo kilichopo kata ya Visiga ,Kibaha mkoani Pwani ili kujiridhisha na kutoa kibali cha kuanza kuzalisha unga wa nafaka .
Pia amewataka wahakikishe wanatimiza agizo hilo mwisho July 26 mwaka huu na  apatiwe majibu .
Kabeho aliyasema hayo ,wakati mwenge wa Uhuru ulipokuwa ukikabidhiwa Mkoani Morogoro ukitokea Mkoani Pwani .
Alieleza endapo watachelewa  kufanya hivyo watawajibishwa kwa kuchukuliwa hatua  kali za kisheria.
Aidha alieleza kuwa, wakati alipokwenda kuweka jiwe la msingi kiwandani hapo (july 19) alitoa siku saba kwa shirika hilo liwe tayari litimize agizo hilo .
Kabeho alisema kuwa “,haiwezekani kiwanda kikawa tayari kimekamilisha taratibu za uzalishaji  huku TBS ikawa kikwazo cha kushindwa kwenda kukagua na kutoa kibali cha uzalishaji.
“Mradi huo mkubwa  wenye gharama ya sh. milioni 812.7  ni sehemu ya juhudi za  serikali  za kuhimiza  uwekezaji  ,inapotokea watendaji wa chombo cha  Serikali chenye dhamana ya kuhakikisha lengo la uwekezaji linafanikiwa wanakuwa kikwazo  ni jambo linaloumiza na kusikitisha sana” alisema Kabeho.
Kiongozi huyo wa mbio za mwenge kitaifa  alisema kwamba ,kila mmoja atimize wajibu wake ili kuunga mkono juhudi za serikali pasipo kuweka vizuizi ambavyo vinaashiria  rushwa.
Katika hotuba yake Kabeho alisema kuwa  viwanda vinasaidia kutoa ajira  kwa Wananchi wetu na  kuinua   uchumi na pato la Taifa kwa ujumla .
Aidha aliupongeza mkoa wa Pwani kwa kuweza kutekeleza kwa vitendo sera ya kuifanya Tanzania kuwa Nchi ya viwanda.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • slot thailand
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • toto slot
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88
  • aero88