• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kabeho awataka Vijana kujishughulisha kwa kuanzisha Viwanda vidogovidogo

Posted on: July 19th, 2018

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu, Charles Kabeho amewataka wananchi kuchapa kazi na wengine kuanzisha uwekezaji mdogo ili kupambana na tatizo la ajira na kupiga vita umasikini.

Pia amewaasa wazazi na walezi ambao watoto wao hawana nafasi ya kuendelea na kiwango cha elimu ya sekondari ,kuwapeleka katika shule za ufundi na veta ili kupata ujuzi mbalimbali,utakaowasaidia kujiajiri.

Hayo ameyasema  baada ya Mwenge wa Uhuru  kutembelea mradi wa shamba la ng’ombe wa maziwa (Soga daily farm) lililopo Bokomnemela ,Kibaha Viijijini ambapo mradi huo  umegharimu kiasi cha sh.bilioni tano.

Kabeho alisema wakati tukielekea kwenye uchumi wa kati ,kuna kila sababu ya kujiongeza kuanzisha biashara ,viwanda vidogo vidogo vitakavyoinua uchumi na kunufaisha wasio na ajira .

Pia alieleza ni vyema jamii ikaweka msukumo kwa vizazi vyao kujiendeleza katika ufundi ili kuzalisha wataalamu watakaoweza kuviendeleza viwanda vinavyojengwa.

Pamoja na hayo ,kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa Uhuru  alikemea matumizi ya madawa ya kulevya na usambazaji kwani huathiri nguvu kazi ya Taifa hasa vijana .

Aliwasihi vijana kujiepusha na kukaa vijiweni na badala yake wajituma kwa kufanya kazi na biashara ndogondogo ,ili kuendana na kasi ya awamu ya tano.

Hata hivyo Kabeho ,alitaka baadhi ya watu kuacha kuzungushia bustani zao vyandarau vyenye dawa na badala yake wavitumie kwa ajili ya matumizi lengwa.

Alisema kuwa ,ugonjwa wa malaria bado upo ambapo waathirika zaidi ni wajawazito na watoto chini ya miaka mitano .

Awali akitoa taarifa ya shamba la ng’ombe wa maziwa, daktari wa Soga daily farm, Omary Batenganya alisema, lilianza mwaka 2014 likiwa na ng’ombe 395 ,sasa lina ng’ombe 1,010 na kondoo 235.


Alielezea lengo la kuanzisha shamba hilo ni kuzalisha maziwa mengi na kutoa ajira.

Batenganya alisema ,ng’ombe mmoja kwa siku anakamuliwa lita 15 -30 kwa kwa mkupuo .



Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.