• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kanda ya mashariki ni Kanda Kubwa katika Uchumi na sekta ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvu - Pinda

Posted on: August 1st, 2023

Kanda ya Mashariki ni kanda kubwa katika kukuza uchumi ba Sekta ya Kilimo, Ufugaji na uvuvu, kauli hiyo imetolewa na Waziri mkuu Mstaafu mhe. Mizengo Pinda  wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki yaliyofanyika katika Viwanja vya Nane nane Mkoani  Morogoro

Aidha ameeleza kuwa hakuna zao ambalo halikubali katika Kanda hiyo kwa kuwa Kanda hiyo ina hali ya hewa tofauti tofauti. Amepongeza Mkoa wa Pwani kwa kuwa kinara katika Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda Nchini.

Pinda alisema  kauli mbiu ya Maonesho hayo ni Vijana na Wanawake ni Msingi wa mifumo endelevu ya Chakula. Ameeleza hilo kwa kuwa Wanawake ni jicho muhimu katika Chakula ikiwemo lishe kwa watoto. Vijana ni kwa sababu lazima waanze jitihada leo ikiwemo kukabiliana na Changamoto za kilimo na mfumo wake uwe wa mashamba makubwa. Pia amesema  kuwa Takwimu za sensa ya 2022 zinaonesha Kanda ya Mashariki ina vijana asilimia 36 juu ya asilimia ya Taifa ambayo ni asilimia 34.

Katika hatua nyingine Pinda ametoa rai kwa Viongozi wa Mikoa ya Kanda ya Mashariki Kujipanga na programu ya Mradi wa Build Better Tomorrow. Kwa kuanisha mashamba hayo pale ambapo vijana watajitokeza kutaka kujiendeleza katika sekta hizo.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge akitoa salaam za Mkoa na Kanda ya Mashariki amesema  kuwa Matarajio ya Mkoa ni kuhakisha matarajio na matamanio ya Mhe Rais yanafikiwa na yeyote mwenye shaka na jitihada na kazi za Mhe Rais aje kuona na kushuhudia Mkoani Pwani na kanda ya Mashariki.

Kunenge ameeleza,  Mkoa Pwani unaendelea kuhakisha Vipaumbele vya Mkoa wa Pwani ni sahihi na Vipaumbele hivyo ni Vipaumbele vya Mhe Rais na  juhudi za Mkoa ni kuanzisha mazao mapya ikiwemo Michikichi na Mpunga.

 Amefafanua zaid kuwa  mazao ya Ufuta na Korosho yameendelea kufanya vizur Mkoa wa Pwani ikiwemo kiwango cha ubora wa Daraja la kwanza kufikiq asilimia 92 kwa msimu uliopita dhamira ya Mkoa na Kanda ya Mashariki ni kuona tunachangia katika kulisha Tanzania na Dunia nzima.

Ameeleza kuwa washiriki wa maonesho hayo kwa mwaka 2023 wameongezeka kutoka watu 477 hadi 589 ikiwa ni ongezeko la asilimia 22.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Pwani yaenedelea Kuzalisha Ajira Kuumuunga Mkono Mhe Rais Kupitia Uwekezaji wa Viwanda

    January 05, 2026
  • Hakikisheni Mradi wa bwawa la maji Kidunda Hausimami _ Dkt Mwigulu

    January 02, 2026
  • Zaid ya Ajira 4,000 Kuzalishwa Bagamoyo kufuatia Makampuni Sita Kusini Mikataba Bemc Sez.

    December 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98