Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kanda ya mashariki ni Kanda Kubwa katika Uchumi na sekta ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvu - Pinda

Posted on: August 1st, 2023

Kanda ya Mashariki ni kanda kubwa katika kukuza uchumi ba Sekta ya Kilimo, Ufugaji na uvuvu, kauli hiyo imetolewa na Waziri mkuu Mstaafu mhe. Mizengo Pinda  wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki yaliyofanyika katika Viwanja vya Nane nane Mkoani  Morogoro

Aidha ameeleza kuwa hakuna zao ambalo halikubali katika Kanda hiyo kwa kuwa Kanda hiyo ina hali ya hewa tofauti tofauti. Amepongeza Mkoa wa Pwani kwa kuwa kinara katika Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda Nchini.

Pinda alisema  kauli mbiu ya Maonesho hayo ni Vijana na Wanawake ni Msingi wa mifumo endelevu ya Chakula. Ameeleza hilo kwa kuwa Wanawake ni jicho muhimu katika Chakula ikiwemo lishe kwa watoto. Vijana ni kwa sababu lazima waanze jitihada leo ikiwemo kukabiliana na Changamoto za kilimo na mfumo wake uwe wa mashamba makubwa. Pia amesema  kuwa Takwimu za sensa ya 2022 zinaonesha Kanda ya Mashariki ina vijana asilimia 36 juu ya asilimia ya Taifa ambayo ni asilimia 34.

Katika hatua nyingine Pinda ametoa rai kwa Viongozi wa Mikoa ya Kanda ya Mashariki Kujipanga na programu ya Mradi wa Build Better Tomorrow. Kwa kuanisha mashamba hayo pale ambapo vijana watajitokeza kutaka kujiendeleza katika sekta hizo.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge akitoa salaam za Mkoa na Kanda ya Mashariki amesema  kuwa Matarajio ya Mkoa ni kuhakisha matarajio na matamanio ya Mhe Rais yanafikiwa na yeyote mwenye shaka na jitihada na kazi za Mhe Rais aje kuona na kushuhudia Mkoani Pwani na kanda ya Mashariki.

Kunenge ameeleza,  Mkoa Pwani unaendelea kuhakisha Vipaumbele vya Mkoa wa Pwani ni sahihi na Vipaumbele hivyo ni Vipaumbele vya Mhe Rais na  juhudi za Mkoa ni kuanzisha mazao mapya ikiwemo Michikichi na Mpunga.

 Amefafanua zaid kuwa  mazao ya Ufuta na Korosho yameendelea kufanya vizur Mkoa wa Pwani ikiwemo kiwango cha ubora wa Daraja la kwanza kufikiq asilimia 92 kwa msimu uliopita dhamira ya Mkoa na Kanda ya Mashariki ni kuona tunachangia katika kulisha Tanzania na Dunia nzima.

Ameeleza kuwa washiriki wa maonesho hayo kwa mwaka 2023 wameongezeka kutoka watu 477 hadi 589 ikiwa ni ongezeko la asilimia 22.


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.