• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kisarawe sasa yapata Maji ya uhakika

Posted on: May 23rd, 2018

“Mkandarasi atakaesaini mkataba hapa mtuachie sisi serikali ya Mkoa kumfatilia, tunakuahidi tutamfatilia usiku na mchana na yeye afanye kazi zake  usiku na mchana kulingana na mkataba unavyosema ili kuhakikisha wananchi wa Kisarawe wanapata maji safi na Salama”

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo mwanzoni mwa wiki hii wakati akitoa salam zake katika hafla ya uwekaji wa saini mkataba wa ulazaji bomba la maji kutoka Kibamba kwenda Kisarawe .

Mhandisi Ndikilo alisema kuwa ,upatikanaji wa maji katika Wilaya ya Kisarawe utasaidia kufungua fursa nyingi za uwekezaji hasa uwekezaji wa Viwanda na kuchochea uchumi na mji huo.

“Mh. Waziri mimi nauona mji wa Kisarawe ulikuwa umedumaa, lakini upatikanaji wa maji katika mji huu utapelekea mji huu kukua na kutanuka vizuri”alisema Ndikilo.

Aidha Mhandisi Ndikilo alisema kuwa katika Wilaya ya Kisarawe ipo miradi 141 ya maji ya visima virefu na vifupi ambavyo vipo mbioni kukamilika, hivyo kukamilika kwa visima hivi na mradi huo  wa ulazaji wa bomba la maji utasidia upatikanaji wa maji kwa kiasi kikubwa  katika Wilaya ya Kisarawe.

Katika Hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amemshukuru Mh Dkt John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa  maelekezo aliyoyatoa  siku ya tarehe 22 Juni 2017 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maboresho wa bomba la maji la kutoka Ruvu kwenda Dar es salaam baada ya kumpa taarifa ya ukosefu wa maji   kwa kipindi kirefu katika wilaya ya Kisarawe.

Naye waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jafo ambaye pia ni Mbunge wa Kisarawe, alisema kuwa mradi wa ulazaji bomba la   maji Kisarawe utasaidi kupatikana kwa maji ya kutosha na utapelekea kukua  kwa  mji wa kisarwe kubadilika na kuwataka wananchi waweze kuulinda na kuuenzi mradi huo.

Mradi huo wa ulazaji wa  bomba la maji kutoka kibamba kwenda Kisarawe umetiwa saini baina ya kampuni ya China Henan  International cooperation group na Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania  unatarajiwa kutekekezwa kwa muda wa miezi 15.Utiaji sahihi huo ulishuhudiwa na waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwele na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mh. Suleiman Jafo.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.