• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kongamano Maalum la Kuhamasisha Ushiriki wa Wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoani Pwani

Posted on: October 9th, 2024

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani imeendesha kongamano maalum la kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha, kugombea, na kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Kongamano hilo limefanyika Oktoba 9, mjini Kibaha, likihusisha makundi mbalimbali kama vile vyama vya siasa, viongozi wa dini, wasanii, bodaboda, mamalishe, machinga, mashirika yasiyo ya kiserikali, na mengineyo.

Akifungua kongamano hilo kwa niaba ya mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchata, amesema kuwa kongamano hilo ni sehemu ya maandalizi ya kufanikisha uchaguzi huo.

Mchata alisisitiza umuhimu wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kuwa unapeleka madaraka kwa wananchi, hasa kupitia wenyeviti wa serikali za mitaa na vitongoji ambao huchaguliwa moja kwa moja na wananchi.

Aliongeza kuwa Mkoa wa Pwani umejipanga vizuri na unaratibu shughuli zote za uchaguzi, huku akitoa wito kwa makundi hayo kuwa mabalozi wa kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha, kugombea, na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi.

Pia aliwasisitiza kutumia kanuni za “4R” za Rais Samia Suluhu Hassan kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na bila migogoro.

Mchata aliwakumbusha wawakilishi wa makundi hayo kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura, ambapo zoezi hilo litaanza Oktoba 11 na kumalizika Oktoba 20, mkoani Pwani.

Awali, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Mkoa wa Pwani, George Nsajigwa, alieleza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaendelea vizuri, na kongamano hilo lililenga kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu.

Nsajigwa alibainisha kuwa Novemba 1 hadi 7 itakuwa ni kipindi cha uchukuaji wa fomu, kampeni zitaanza Novemba 20 hadi 26, na Novemba 27 ni siku rasmi ya kupiga kura.

John Kirumbi, Mwenyekiti wa Wazee Wastaafu wa Mkoa wa Pwani, aliishukuru Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kuandaa kongamano hilo, akibainisha kuwa litasaidia kuongeza hamasa ya wananchi kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.