• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Kunenge aagiza usimamizi thabit utekelezaji Miradi ya Maendeleo

Posted on: October 16th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Pwani ,Abubakari Kunenge amewaaka watendaji kusimamia ipasavyo miradi ya maendeleo ili kuhakikisha inatekelezwa kwa wakati kwa maslahi ya wananchi.

Aidha alizitaka Halmashauri ziache kuwa ombaomba kwa wawekezaji na kuwatafutia vikwazo vya kisheria hali inayosababisha kuwapa maumivu.

Hayo ametasema Oktoba 12 wakati wa kikao Cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) na alisema , Serikali inatenga fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo, hivyo bila kuisimamia itakuwa tunamuangusha Rais wetu Mhe.Samia Samia Hassan.

Alieleza, Rais anafanya juhudi kubwa kuleta fedha nyingi za miradi ya maendeleo katika akiamini ,miradi inasimamiwa na kumalizika kwa wakati ili ilete tija kwa wananchi.

Awali Katibu Tawala msaidizi Mipango na Uratibu Mkoani Pwani, Edina Katalaiya alisema ,Mwaka 2022/2023 mkoa uliidhinishiwa bajeti ya Bilioni 335.110.4 kati ya fedha hizo bilioni 286.632.1 ni kwa ajili ya ruzuku ya matumizi ya kawaida na maendeleo na sh Bilioni 48.478.338 za mapato ya ndani ya Halmashauri.

Kati ya fedha za ruzuku sh.206.063.824.0 za mishahara na matumizi mengineyo na sh.80.568.294.0 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Vilevile Edina alieleza, mwaka 2022/2023 jumla ya sh.bilioni 249.155.581.144 kati ya sh.286.632.118.0 zilipokelewa sawa na asilimia 86.93 ya bajeti ya fedha za ruzuku.

Kati ya kiasi hicho sh.185.961.021.205.45 zimelipwa mishahara,sh.bilioni 13 .321.828.822.08 za matumizi mengineyo ( OC ),na sh.53.499.163.545.26 za maendeleo”.

Edina alitaja baadhi ya Changamoto kuwa ni katika utekelezaji wa bajeti 2022/2023 ni pamoja na ufinyu na ukomo wa bajeti usiotosheleza mahitaji ukilinganisha na jiografia na ukubwa wa mkoa kutoka eneo moja kwenda lingine,uwepo wa visiwa na delta ya mto Rufiji hali inayofanya gharama za uendeshaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kuwa kubwa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.