• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge atoa wiki mbili Soko kibaha kukamilishwa

Posted on: October 25th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa muda wa wiki mbili kwa mkandarasi Elray, anayejenga jengo la kisasa la maduka makubwa (shopping mall) lililopo Halmashauri ya Mji Kibaha, kukamilisha ili wafanyabishara waanze kuuza bidhaa zao.

Ujenzi wa jengo hilo ambalo ni mradi wa Halmashauri ya Mji Kibaha umefikia asimilia 98, kinachosubiriwa kwa sasa ni kukamilisha baadhi ya miundombinu ili lianze kutoa huduma.

Kunenge ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 25, 2023 kwenye ziara yake ya kukagua ujenzi wa miundombinu mbalimbali ikiwemo soko, barabara na shule ambapo amesema ameridhishwa na kasi ya ukamilishaji wa miundombinu hiyo.

Amesema kukamilika kwa jengo hilo la kisasa kutatoa fursa kwa wafanyabiashara 253 kuuza bidhaa zao.

“Mradi huu wa maduka makubwa una manufaa makubwa sana na tunamshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha kujenga tutazalisha ajira na fursa nyingi za uwezeshaji wananchi kiuchumi,” amesema Kunenge.

Katika hatua nyingine Kunenge, ametoa kibali kwa wafanya biashara wadogo "wamachinga" kujenga miundombinu ili kufanya biashara kwenye eneo ambalo awali liliwekwa kwa ajili ya matumizi mengine kwa madai kuwa kufanya hivyo kutatoa fursa kwa wananchi kupata huduma wanazozitaka kwa wakati mmoja.

Mhandisi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Brighton Kisheo amesema mwaka 2018/2019, halmashauri hiyo ilitengewa kiasi cha sh. bilioni nane kwa ajili ya ujenzi wa mradi huo ambao kwa mujibu wa mkataba unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka huu.

Amesema baada ya kukamilika kwa mradi huo, wanatarajia kuingiza kiasi cha sh. milioni 450 kwa mwaka fedha ambayo itatokana na uendeshaji wa jengo hilo la maduka makubwa (Shopping Mall) la Halmashauri ya Mji Kibaha.

Naye mwenyekiti wa Wamachinga mkoa wa Pwani Filemon Maliga amemshuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia eneo jirani na jengo hilo ili wafanye biashara zao na akaeleza kuwa wanaona fahari kundi la wamachinga kutambulika na kupata fursa mbalimbali zikiwemo za mikopo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200