• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Kunenge aziagiza halmashauri zote za Pwani kuto fedha kwa wakati ili kutekeleza shughuli za Lishe.

Posted on: May 14th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameziagiza halmashauri mkoani humo, kuhakikisha zinatoa fedha kwa wakati katika kutekeleza masuala ya lishe.

Aidha amekemea vikali tabia ya baadhi ya Halmashauri kutenga fedha za kutekeleza shughuli nyingine kupitia vifungu vinavyohusisha masuala ya lishe hali inayosababisha utekelezaji wa shughuli za lishe kushindwa kufanyika kwa wakati.

Kunenge ameeleza hayo Mei 14 wakati akifungua kikao cha nusu mwaka cha Tathmin ya mkataba wa lishe, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Destiny, mjini Kibaha ,kilichowajumuisha Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na maafisa lishe ngazi ya mkoa na Halmashauri.

"Mh. Rais amesaini mkataba wa lishe na Wakuu wa Mikoa na kutoa fedha kisha anatokea mtu anaenda kufanya vile anavyotaka yeye kwa kuweka fedha za shughuli nyingine kwenye vifungu vya masuala ya lishe hili jambo liachwe mara moja " amesema Kunenge.

Ameeleza, kifungu kimewekwa kwa malengo ya shughuli ya lishe , ifanye masuala ya lishe peke yake na si vinginevyo .

Kadhalika Kunenge amezipongeza halmashauri za Kibaha na Halmashauri ya Wilaya kibaha, kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa mkataba wa lishe kwa mwaka 2022/2023 ambapo mkoa wa Pwani ulishika nafasi ya kwanza kitaifa.

Kunenge ameeleza kuwa, Serikali chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada za kuhakikisha kila Halmashauri inapata Afisa lishe zaidi ya mmoja ",hivyo ni jukumu letu kuhakikisha tunasimamia utekelezaji wa mkataba huo katika ngazi zote"

"Niwahimize viongozi wenzangu kusimamia lishe kuanzia ngazi ya kijiji/mtaa kata kwani utekelezaji wake unalenga kuifikia jamii" anasema Kunenge.


 



Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Madiwani wa Kibaha na Chalinze watakiwa Kuwa Mabalozi wa Usimamizi Bora wa Miradi ya Maendeleo

    January 15, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Afungua mafumzo ya mfumo wa O&D Ulioboreshwa

    January 15, 2026
  • RC Kunenge Atoa Muongozo wa Utekelezaji wa Shughuli za Serikali Mkoani Pwani

    January 09, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200