• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Lishe Bora Chachu ya Maendeleo - RC Pwani.

Posted on: September 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, amesema lishe bora ni nguzo muhimu ya maendeleo ya Taifa na kusisitiza kuwa haiwezekani kujenga uchumi imara bila wananchi wenye afya njema.

Ametaka mpango wa lishe kutekelezwa kwa ufanisi, kwani fedha zinazotolewa kwa ajili hiyo ni uwekezaji kwa ustawi wa jamii na vizazi vijavyo.

Akihitimisha kikao cha lishe cha Mkoa wa Pwani kilichofanyika Septemba 9, 2025, Kunenge alisema Serikali imeweka mikakati ya kuhakikisha suala la lishe linawekwa kwenye ajenda kuu za maendeleo.

"Mpango huu unapaswa kuendana na Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, ambayo inalenga kujenga wananchi wenye uwezo na tija katika maendeleo," amesema.

Aidha, RC Kunenge alihimiza wataalamu na watendaji wa sekta husika kusimamia kwa karibu utekelezaji wa afua za lishe, ili kuhakikisha Mkoa huo unaendelea kushika nafasi ya kwanza kitaifa.

"Msisitizo huu unatakiwa kuungwa mkono na mipango ya halmashauri pamoja na ushirikiano wa wananchi," amehimiza.

Katika hatua nyingine, Kunenge amewataka wananchi wa Mkoa wa Pwani kuendelea kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara.

Amesema hatua ya kujitambua kiafya mapema ni njia bora ya kuzuia changamoto kubwa zinazoweza kuathiri ustawi wa jamii.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, alisema ni muhimu mpango wa lishe ukabidhiwe sura inayozingatia mahitaji halisi ya jamii na akasema kuwa kwa kufanya hivyo, Mkoa utakuwa na nafasi ya kuimarisha afya ya wananchi na kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya Taifa.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani Yatenga Maeneo 27 ya Kongani Kukuza Uwekezaji na Viwanda.

    September 11, 2025
  • Lishe Bora Chachu ya Maendeleo - RC Pwani.

    September 09, 2025
  • Pwani Kunufaika na Vyandarua Milioni 1.2 Kukabili Malaria.

    September 09, 2025
  • Timu ya Michezo ya Watumishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani yashiriki Uzinduzi wa Mashindano ya 39 ya SHIMIWI.

    September 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.