• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mafia Yapongezwa kwa Utoaji wa Mikopo Nafuu, Wananchi Watakiwa Kuchangamkia Fursa.

Posted on: August 4th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ally, leo Agosti 4, 2025, ametembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Mafia katika Maonesho ya Nanenane ya Kanda ya Mashariki yanayofanyika Morogoro, ambapo ametoa wito kwa wananchi, hususan wazee na wafanyabiashara wadogo, kuchangamkia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kwa lengo la kukuza mitaji na kuimarisha biashara zao.

Dkt. Mussa amesisitiza umuhimu wa viongozi wa halmashauri kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu taratibu na fursa za upatikanaji wa mikopo hiyo isiyo na riba, ili kuhakikisha inawanufaisha walengwa wengi zaidi.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia, Shabani Shabani, amethibitisha upatikanaji wa mikopo hiyo na kuwahimiza wananchi kujitokeza kuomba akibainisha kuwa mikopo hiyo haina riba kabisa na masharti yake ni nafuu.

Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa sera zake bora zinazoendeleza sekta za kilimo, mifugo na uvuvi na amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa mwaka 2025 ili kuchagua viongozi bora watakaosukuma mbele maendeleo ya sekta hizo, sambamba na kaulimbiu ya maonesho ya mwaka huu inavyosema Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mafia Yapongezwa kwa Utoaji wa Mikopo Nafuu, Wananchi Watakiwa Kuchangamkia Fursa.

    August 04, 2025
  • Maonesho ya Nanenane 2025 ni ya Kipekee, Yamepiga Hatua Kubwa: Pinda.

    August 02, 2025
  • Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki yaonyesha Mafanikio ya Serikali kwa Vitendo – RC Kunenge.

    August 02, 2025
  • Viwanda vyaongezeka Pwani, Kunenge amshukuru Rais Samia.

    August 01, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.