• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

Majaliwa aagiza Ma-DC ,TRA Usimanizi,Ukaguzi EFD

Posted on: September 30th, 2023

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza wakuu wa wilaya nchini kushirikiana na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kusimamia na kukagua wa mashine za EFD ili kuepusha upotevu wa fedha za Serikali.

Akifunga wiki ya Utalii na Uchumi wa bluu Wilayani Mafia, Majaliwa ameelekeza wakuu wa wilaya pia kusimamia na kuimarisha mabaraza ya biashara kwenye maeneo yao ili suala la biashara lilete tija kwa wafanyabiashara na kupata faida.

"Nyie wakuu wa wilaya ni wenyeviti wa mabaraza haya, kaeni kwenye vikao vya mapato kwenye maeneo yenu, fanyeni ukaguzi ili kubaini kama mitambo ya EFD ni halisi kwani baadhi zinapoteza mapato ya Serikali na kuleta usumbufu kwa wananchi," amesema Majaliwa.

Akizungumzia uchumi wa Mafia, Majaliwa ameelekeza wilaya hiyo na mkoa wa Pwani kuendelea kuhamasisha wawekezaji kuwekeza katika uchumi wa bluu kisiwani humo ili kujiongezea mapato na kukuza uchumi.

Vilevile Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu ya usafiri katika Kisiwa hicho ambapo imetenga shilingi Bilioni 9.5 ya kutengeneza kivuko kingine chenye uwezo wa kubeba tani 120 ya mizigo na abiria 500.

Ameupongeza mkoa wa Pwani na wilaya ya Mafia kwa kufanikisha tamasha hilo na kutangaza vivutio na akawashauri lisiishie hewani liwe bali liwe endelevu kwa kila mwezi Septemba ya kila mwaka.

Waziri Mkuu huyo ameeleza kuwa Mafia ni kisiwa ambacho kinasifika kwa mazalia ya samaki Duniani na kuwa kisiwa hicho kinachangia pato kubwa kupitia Uchumi wa bluu na Uvuvi.

Nae Mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Abubakari Kunenge, alieleza kuwa tamasha hilo limefanyika kwa siku tatu lilianza Septemba 28 hadi leo Septemba 30 ambapo washiriki walikuwa 71.

"Hili tunalofanya ni kutafsiri kwa vitendo azma ya Rais kufungua wilaya ya Mafia katika uwekezaji wa uchumi wa bluu na utalii na kwa hili tukio, imani yetu mwaka mmoja matokeo chanya yataonekana "amesema Kunenge.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Pwani waadhimisha siku ya Kuzaliwa kwa Rais Sania kwa Kupamda miti 6,379

    January 26, 2026
  • Waziri Kikwete Azindua Jengo la Ofisi ya TAKUKURU Chalinze

    January 24, 2026
  • TAKUKURU Chachu ya Maendeleo ya Uwekezaji Pwani: RC Kunenge

    January 24, 2026
  • Madiwani Kibaha na Chalinze Watakiwa Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Umma

    January 16, 2026
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • slot gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • slot gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • toto slot
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • slot gacor
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • aero88