• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AWATAKA WANANCHI WA PWANI KUIMARISHA AMANI

Posted on: March 20th, 2017

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassani ametoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Pwani  kushirikiana na vyombo vya usalama kulinda amani na usalama wa Mkoa wa Pwani kufuatia kujitokeza kwa mambo ambayo yameonekana  kuhatarisha usalama mkoani hapa. Rai hiyo imetolewa na Mhe. Makamu wa Rais wakati akizungumza na wananchi wa   Mji wa Chalinze Wilayani Bagamoyo na Mlandizi Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma  

 
Akiwa katika Eneo la Mlandizi kibaha,  

Mhe. Makamu wa Rais ameahidi   kuweka uzio wa katika kituo cha Afya cha Mlandizi ambapo itakuwa ni moja ya sifa ya kupandishwa hadhi  ya kuwa Hospitali ya Wilaya  kwani serikali bado ina nia  ya kupandisha hadhi vituo mbalimbali  na kuhakikisha uwepo wa dawa katika kituo cha Afya cha Mlandizi.Kuhusu kupimwa kwa Mji wa Mlandizi   Mhe. Makamu wa Rais ameahidi atafanya mazungumzo na Waziri wa Ardhi  ili waweze kupima eneo hilo na suala la barabara ya Makofia Mzenga  amesema ahadi iko palepale  kuwa barabara hiyo itajengwa kwa  kiwango cha lami.Pia ameongezea kwamba kuhusu eneo  la Kisabi A na B  ambalo limepimwa na  limezuiliwa na TAMISEMI,  Mhe. Makamu wa Rais ameahidi kwamba atafanya mawasiliano na Ofisi ya Rais TAMISEMI ili waweze kuyaachia maeneo hayo.

Akiwa Chalinze Wilayani Bagamoyo, Mhe. Makamu wa Rais  amewahakikishia wananchi wa chalinze kutatua tatizo la maji katika mji wa Chalinze  na  kuhusu mradi wa maji Chalinze upo katika hatua za mwisho na Serikali imeandaa mpango mzuri wa kupunguza tatizo hilo la maji katika Mji wa Chalinze.Amesema upo mpango wa kuvuta maji kutoka mto Wami mpaka Pera  kwa mabomba na kujenga  matanki  makubwa ili maji yakifungwa yaweze kuwafikia Wananchi kwa urahisi.

Pia ameongezea kuwa  Serikali inampango wa kujenga   Tanki jingine la kuhifadhia  maji maeneo ya  Mazizi yenye lita za ujazo milioni 1.2 ambalo litawawezesha wakazi wa Chalinze kutumia maji kwa wiki mbili  bila kukatika  .

Aidha ameongezea kuwa vifaa vya tiba vipo katika Hospitali ya Msoga ila tatizo ilikuwa ni mafundi wa kufunga vifaa hivyo,   ataiagiza  Wizara ya Afya kupeleka wataalam kwa ajili ya kufunga vifaa hivyo  na amesema kuwa na kituo cha Afya cha Chalinze bado suala lake linashughulikiwa.

Hata hivyo Mhe. Makamu wa Rais amemuagiza Mkuu wa Mkoa  Pwani kuwa mpaka ifikapo mwezi Novemba awe tayari amempatia  taarifa ya tathmini ya eneo la soko la Chalinze. Pia amewataka wakulima na wafugaji kuacha migogoro na amewaagiza viongozi wa Wilaya kusimamia ipasavyo suala la Migogoro ya wakulima na wafugaji


Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.