• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mhandisi Tumbo awataka Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa Kuhakikisha wanatoa huduma nzuri kwa Wananchi

Posted on: June 2nd, 2021

Na: Nasra Mondwe

Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Mhandisi Mwanasha Tumbo amewataka watumishi wote wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Kutoa huduma nzuri kwa Wananchi ambao ni wateja wote wa ndani na Nje ya Ofisi hiyo.

Amesema kwa kufanya hivyo watakuwa wamemsaidia Mhe. Rais ambaye tegemeo lake kubwa ni kuona Serikali za Mikoa zinasimamia majukumu yote na kushughulikia Malalamiko ya Wananchi. Ametoa rai hiyo Juni 3, 2021 wakati akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwenye hafla fupi ya Makabidhiano iliyofanyika Ofisini hapo.

Mhandisi Tumbo amewaeleza Watumishi hao kuwa katika kutoa huduma kwa Wanachi wanapaswa kujali Wanachi wanofika Ofisini hapo kutafuta huduma kwa kuwahudumia kwa wakati na kutumia Lugha nzuri katika kuhudumia. Amewaeleza Watumishi hao kuwa katika kutekeleza Majukumu yao yote wafahamu kuwa wanatekeleza Ilani ya Chama, Chama Cha Mapinduzi ambao ndiyo wenye Serikali.

"Watumishi ni sawa na Wauza Duka na Wenye Duka ni Chama Chama cha Mapinduzi, Watumishi tukiwa wauzaji wa Duka hili tuuze Vizuri kwa makini na kwa uaminifu" alisema Tumbo, Amewataka kutoa Ushirikiano kwa Chama cha Mapinduzi pale Chama kinapohoji utekelezaji wa majukumu mbali mbali kwa kuwa wanatekeleza ilani yake.

Amesisitiza kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia sheria na kanuni za utumishi wa umma, amewataka watumishi hao kumpa ushirikiano wa kutosha katika utendaji wa kazi na kuhakikisha wanawahi kufika kazini na kufanya majukumu yao,

Naye, Katibu Tawala aliyemaliza Muda Wake Dr. Delphine Magere amewashukuru Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa huo kwa kumpa ushirikiano katika kipindi chote alichokuwa kazini na amewataka watumishi hao kumpa Mhandisi Tumbo ushirikiano.

“Nimekaa na nyie kwa muda wa Mwaka mmoja na nawashukuru kwa ushirikiano mlionipa katika kipindi chote tulichokuwa pamoja, hivyo nawasihi kuwa ushirikiano mliokuwa mkinipa mimi nawaonba mumpatie pia Mhandisi Tumbo ili kuhakikisha Mkoa wa Pwani Unasonga mbele katika nyanja zote”alisema Dkt Magere.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.