• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mikoa na Wilaya zatakiwa Kupitia Kamati za Maafa katika ngazi zote.

Posted on: September 27th, 2023

Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, imeagiza mikoa na wilaya kupitia kamati za maafa katika ngazi zote, kuainisha na kuandaa rasilimali za kuzuia, kuandaa na kukabiliana na maafa kama vile mvua za El nino.

Aidha serikali inaendelea kuchukua hatua za kuzuia madhara kufuatia utabiri uliotolewa na Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA, mwelekeo wa mvua za msimu wa vuli kwa kipindi cha mwezi oktoba hadi desemba 2023 kuonesha uwepo wa El- nino na kuendelea hadi Januari 2024.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Anderson Mutatebwa, Septemba 27,2023 kwenye ufunguzi wa kikao kazi cha kuimarisha uwezo wa kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na madhara ya El nino kwa kamati ya usimamizi wa maafa mkoa wa Pwani.

Amesema kwa mujibu wa sheria ya usimamizi wa maafa, namba 6 ya mwaka 2022 na kanuni zake ambayo imeanzisha kamati za usimamizi wa maafa kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya, kata na vijiji kuzuia na kupunguza madhara ya majanga ya aina zote na kujiandaa kurejesha hali kwa ubora zaidi endapo maafa yatatokea.

“Tumekutana leo kukumbushana wajibu muhimu kwa kila mmoja kuwajibika katika eneo lake ili kuokoa maisha na kulinda mali zawananchi , tukumbuke mkoa unaingia kusaidia juhudi za halmashauri husika kwa kushirikiana na wananchi kwenye maeneo yao kwa ajili ya kuokoa maisha na mali za jamii zetu kutokana na maafa,” Mutatebwa.

Amesema mikoa 14 nchini kufikiwa kwa ajili ya kupata elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El nino kama vile Pwani( ikiwemo visiwa vya Mafia), Dar es Salaam, Kagera, Tanga, Shinyanga, Mwanza, Geita, Simiyu, Morogoro na Kigoma hadi kufikia Septemba 30.

Katibu Tawala wa mkoa wa Pwani, Rashid Mchata amesema tayari mkoa huo una kamati za maafa kuanzia ngazi ya mkoa hadi vijiji na kwamba wamejiandaa vyema kukabiliana na majanga ikiwemo mvua za El nino.

Amesema suala la kukabiliana na majanga kwao ni endelevu na kwamba watahakikisha kamati za maafa zina uwezo wa kifedha ili kutekeleza majukumu yao kwa ajili ya kuwasaidia wananchi kuwa salama.

“ Uwezekano wa kutokea kwa mvua za El nino mkoani kwetu upo kwa sababu ya historia katika miaka ya nyuma lakini pia tumezungukwa na mito na bahari, tumejiandaa na tumefanya maandalizi ili kukabiliana na majanga hayo amesema Mchatta.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.