• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • TasksMIS |
    • Events Portal |
Coast Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Pwani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahali tulipo
    • Dira na Dhima
    • Mamlaka
    • Majukumu na Kazi
    • Waliowahi kuwa Mkuu wa Mkoa
    • Waliowahi kuwa Katibu Tawala wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Maji
      • Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
  • Wilaya
    • Kibaha
      • Kuhusu kibaha
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Bagamoyo
      • Kuhusu bagamoyo
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mafia
      • Kuhusu Mafia
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kisarawe
      • Kuhusu Kisarawe
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Mkuranga
      • Kuhusu mkuranga
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Rufiji
      • Kuhusu Rufiji
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
    • Kibiti
      • Kuhusu Kibiti
      • Utawala
      • Ulinzi na Usalama
  • Halmashauri
    • H/M Kibaha
    • H/W Kibaha
    • H/W Kisarawe
    • H/W Mafia
    • H/W Mkuranga
    • H/W Rufiji
    • H/W Kibiti
    • H/W Chalinze
    • H/W Bagamoyo
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Bandari ya Nchi Kavu
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Sheria
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mpango Mkakati wa Mkoa
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Nafasi za Kazi

Mko wa Pwani Kufufua zao la Mkonge

Posted on: June 1st, 2020

Serikali Mkoani Pwani imeeleza kuwa itayafutia umiliki mashamba makubwa ambayo hayajaendelezwa na kuyagawa kwa wakulima wanaolima zao la mkonge ili kufufua zao hilo.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara ya Mhe. Kasimu Majaliwa (Mb)Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Tanga.

"Tunakwenda kutekeleza maelekezo yako Mhe. Waziri Mkuu ya kufufua zao la Mkonge, nitume salaamu kwa wamiliki wa mashamba makubwa Mkoa wa Pwani yasiyoendelezwa, maelekezo ya Serikali ni kuyafutia umiliki na kugawa kwa wakulima walime Mkonge" alisema Mhandisi  Ndikilo.

Awali akitoa hali ya Uzalishaji wa zao hilo katika Mkoa wa Pwani Ndikilo, amemshukuru Mhe. Waziri Mkuu kwa kuutambua Mkoa wa Pwani kama wadau muhimu wa zao hilo na kuwaalika katika ziara hiyo.

Ndikilo alieleza kuwa kwa sasa Mkoa wa Pwani una mashamba makubwa mawili ya Mkonge yanayo milikiwa na Ubena Highland Estate lililopo Chalinze na shamba la Mohamed Enterprises lililopo Kibaha ambapo jumla ya Hekta 10,007 zimelimwa kwenye mashamba yote mawili na kwa msimu wa 2019/2020 wamefanikiwa kuzalisha tani 2,136 za mkonge.

Hata hivyo Ndikilo ametumia fursa hiyo kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza katika zao hilo Mkoani Pwani ambapo ameeleza kuwa kupitia mashamba ya Mkonge yaliyopo Mkoa hapa umetengenza ajira 1,200 za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.

"Tunayo maeneo yanayofaa kwa Kilimo cha Mkonge na maeneo yanayofaa kwa ujenzi wa kiwanda cha magunia fursa hizi tumezianisha kwenye mwongozo wetu wa Uwekezaji (Pwani Investment Guide) tunawakaribisha wawekezaji kuwekeza Pwani."

Mhe. Waziri Mkuu amefanya ziara ya siku moja MkoaniTanga pamoja na mambo mengine amefungua Jengo la Makao Makuu ya Bodi ya Mkonge Tanzania na kukutana na wadau wa Mkonge, baadhi ya Wakuu wa Mikoa, Viongozi wengine Serikali, Wawekezaji na Vyama vya Wakulima wa Mkonge kwa lengo la kuhamasisha Kilimo hicho.

Matangazo

  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Baraza la Biashara Mkoa wa Pwani July 04, 2023
  • Uzinduzi wa Program Jumuishi ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto Mkoa wa Pwani October 04, 2023
  • KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA PWANI, OKTOBA 11,2023 October 10, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RS Pwani Yaibuka Kidedea kwa Ushindi wa "-1 Dhidi ya Kibaha TC

    May 01, 2025
  • Rais Samia Apongezwa kwa kuwa Kiongozi wa Mfano katika Maadhimisho ya Mei Mosi Mkoani Pwani

    May 01, 2025
  • RC Kunenge Aagiza CORECU Kutekeleza Maomo ya Rais Samia Kuhusub Ushirika

    April 30, 2025
  • Spika Tulia Asisitiza Umuhimu wa Muungano katika kuimarisha Umoja na Amani

    April 25, 2025
  • Tazama Zote

Video

Coast Region Investment opportunities
Video Nyingine

Kurasa za Haraka

  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Hotuba za Mkuu wa Mkoa
  • Mpango Mkakati wa Mkoa
  • Investment Opportunity Profile
  • Taarifa mbalimbali kuhusu Mkoa
  • Maktaba ya Picha
  • Barua pepe za watumishi

Tovuti Zinazoshahabiana

  • OR-TAMISEMI
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wakala ya serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Visitors Counter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

    Sanduku la Posta: 30080 Kibaha

    Simu ya Mezani: 023 2402287/2402500

    Simu ya Mkononi: 023 2402287/2402500

    Barua pepe: barua@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Haki zote zimehifadhiwa.